Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahaha hivi watu wa humu hamjui kugundua "sarcasm" au mnataka tuwe tunawatafunia kila kitu? Read between lines.

BTW Miaka yote Cech aliyokaa na Chelsea hajawahi kubeba kombe muhimu duniani kama hili.

Mentor njoo ujibu huku, kunakuhusu
 
Last edited by a moderator:
zp_563340793_SM_3441_65_3FBD66_4908.jpg


The combination of the trio is deadly ... .... .....

zp_563340793DP019_Arsenal_v_Ev_6239.jpg


Theo on the move ... ....


zp_563340793DP025_Arsenal_v_Ev_8434.jpg


Ozil's control ... ....

zp_563340793DP027_Arsenal_v_Ev_8257.jpg


Oh yah hi 5's .... ....

zp_563340793DP029_Arsenal_v_Ev_4738.jpg


Akpom ... ..... on deadly mission .. ...

zp_563340793DP043_Arsenal_v_Ev_9737.jpg


Don't tell anybody .. .... .

zp_563340793_SM_3521_AB_3FCA77_4157.jpg


zp_563340793_SM_3598_59_3FCA78_558.jpg



zp_563340793_SM_3602_8D_3FCA79_2147.jpg


Rambo alikuwepo .... ..

zp_563340793_SM_3626_18_3FCA7A_8743.jpg


The Ox ... ....
 
zp_563340793_SM_2951_9C_3FB71B_6461.jpg


OG kama kawa ... ...


gun__1436784697_singapore_players_plane.jpg


Vijana wapo njiani kurejea kujiandaa na Emirates cup
kabla ya kupambana na wauza unga.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ingawaje ni media za kijiweni zinazosema habari hii,inaelekea Flamini yupo mbioni kuuzwa Uturuki. BTW, Emirates Cup itaanza lini? Wacha1
 


NTheo anataka kutuambia nini katika picha hii? Is he leaving or is he too good to be with the whole group? Nasubiri Pundits, Tabloids waandike wanavyotafsiri hii picha kesho.​


Aende wap​
 
muda unazidi kujisogeza.... Sanchez bado anakula raha kwao. Szczesny anasarandiwa na Ajax Amsterdam

Mkuu,

Hii nilikwshatoa hints huko nyuma.

Flamini anaenda Garatasaray na Cheza atakwenda Ajax kuungana Yaya Sanogo ambae yupo pale kunolewa na legend Denis Bergkamp ambae ni kocha msaidizi wa ajax Amsterdam.

Pia Marc Overmars ndie mkurugenzi wa mpira wa timu hiyo, hivyo Wenger amewaomba wawanoe vizuri Sanogo na huyu Cheza.

Inasemwa kwamba David Ospina atakuwa number 2 wa Petr na Cheza anaondolewa kwa muda kutokana na discipinary issues.

Kama unakumbuka Arsenal ya akina Marc Overmars, Emanuel Petit, Ray Parlor, Denis Bergkamp na wengine ya mpaka 2004 ilivyokuwa.
 
Usajili so far.

Suala la Karim Benzema.

Real Madrid wamekataa paundi milioni 32 ambazo Arsenal waliweka mezani na kudai kwamba mchezaji huyo bado ni muhimu kwa timu hiyo.

Kwa kuangalia namna Raphael Benitez alivyopanga timu hiyo hasa kwenye mechi ya kwanza ya majaribio Jumamosi ilopita, na Roma ya Italy, Cristiano Ronaldo ndie anapangwa kama central striker akiachwa mbele, hivyo kupunguza uwezekano wa Benzema kuanza mechi nyingi na kuwa anakaa bench.

Pia Benzema ni mmoja wa wachezaji wanaopendwa sana na raisi wa timu hiyo Firentino Perez hivyo kupunguza uwezekano wa kukubali mchezaji huyo aondoke bila kupata mchezaji mwingine wa calibre yake hasa kama Sergio Aguero wa Man City.

Lakini baada ya mchezaji mwenyewe kushindwa kukanusha habari za usajili wa Arsenal bado Raphael Benitez anataka apatikane mchezaji mwingine wa kuziba nafasi yake endapo Benzema atakwenda Arsenal.

Nacho Monreal.

Nacho bado ana tatizo la kuangalia mikono yake pale anapokabiliana na wachezaji wengi wa pembeni wa timu pinzani hii inaitwa kwa kiingereza handbal rule.
monreal_3323046b.jpg

Handbal Rule

Hii "handbal" rule ni pale unapokuwa ukimwangalia mchezaji wa pembeni au mshambuliaji pale anapokuwa akifuatilia mpira wa kona au wa kupigwa juu kuekekea eneo la hatari la goli lako.

Hivyo unapokuwa unageuka unapaswa kuangalia mikono yako na kuhakikisha haigusi mpira.

Bado Nacho anafanya mafunzo ya handbal rule lakini Athletico Bilbao wanataka kumsajili beki huyu na Arsenal na endapo Nacho ataondoka, tayari wamepata mchezaji beki mwingine ambae anaitwa Sead Kolasniac na anachezea timu ya Schalke ya Germany.
 
Mbu karibu mkuu naona summer ndio hiyo tena enjoy when it lasts .... ......


rubaman

gun__1431942475_emirates_cup2015_711x400.jpg


25/July Vfl Wolfsburg Vs Villarreal at 14:00

then Gunners Vs Olympique Lyonnais at 16:20

26/Jul Olympique Lyonnais Vs Villarreal at 14:00 then

VfL Wolfsburg Vs Gunners at 16:20

Match zote za Gunners zitakuwa live BT sports ... ... BST time ... ..... 2 hrs behind EAT
 
Theo anataka nyongeza ya £10000 kwa wiki ambayo siyo tatizo kwa Gunners ili awe analipwa £100,000 kwa wiki .... hiyo itakwenda sambamba na Jack ambaye analipwa chini ya hizo pamoja na mastaa wengine wa Gunners, the salary scale is just about to be increased kutokana na mafisi kunyatia mastaa wetu ... .Ding .... Dong.
 
Theo anataka nyongeza ya £10000 kwa wiki ambayo siyo tatizo kwa Gunners ili awe analipwa £100,000 kwa wiki .... hiyo itakwenda sambamba na Jack ambaye analipwa chini ya hizo pamoja na mastaa wengine wa Gunners, the salary scale is just about to be increased kutokana na mafisi kunyatia mastaa wetu ... .Ding .... Dong.
Ni kweli Wacha1,mastaa wetu wanaotuweka square 2..seasonly.! El quartet forever,Amen
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom