ile ni kitu ya kawaida tu baba,hivi wewe hujaona kwamba jamaa kafunga kwanza refa ndo aonesha mkono kuruhusu mpira upigwe halafu baadaye akubali goli...anywaysa kama ipo ipo tu,mpira ni dakika 90 na thank God tuna goli la ugenini tayari....Ila Ferdnand sio beki baba,bora hata Campbell,mara mia