Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hongera sana gunners. Nawaona #mburukenge, #wasagasumu na #vimburu wamenuna karibu ya kupasuka Khe Khe kheeeeeeeeeeeeeee CC: everlenk nadhani sasa umeamini maneno yangu kwamba ushindi ni kama KAWA. Rudi nyumbani banaaa achana na hao nanihii lol!!! Makombe yameanza kurudi lol! 🙂🙂
 
Last edited by a moderator:
Na yule Serena Williams baada ya kupoteza set ya kwanza, ameshinda set ya pili sasa wanaingia final set.

Aiseee hongera zake na aishinde hiyo set ya mwisho...... Mimi akili yote sasa inahamia Spain...
 
Xhenzi sana Villains,tumejiandaa kweli kupambana fainali kumbe hawana lolote!,but hongera sana gunners wenzangu.
 
Arsenal today

walcottcelebrates_3323736b.jpg

Theo Walcott akifurahia goli la kwanza alofunga dakika ya 40.

grealishcup_3323742b.jpg

Ahsante Hector kwa kumweka mfukoni kijana mwenzio

18-arsenal_3323784b.jpg

Mertesacker akipongezwa na wenzie

22-arsenal_3323815b.jpg

The killer, Sanchez

21-wenger_3323813b.jpg

The mastermind Wenger
 
Hongera sana gunners. Nawaona #mburukenge, #wasagasumu na #vimburu wamenuna karibu ya kupasuka Khe Khe kheeeeeeeeeeeeeee CC: everlenk nadhani sasa umeamini maneno yangu kwamba ushindi ni kama KAWA. Rudi nyumbani banaaa achana na hao nanihii lol!!! Makombe yameanza kurudi lol! 🙂🙂
Acha kuwaudhi watu wewe.
Teh teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha Welbeck na RVP ndio wachezaji wawili waliochezea Manchester United in last 2 seasons wenye FA CUP trophy au sio? Nzi, Belo, Bulldog,DonDonald, everlenk,RRONDO.
 
MOTM si mwingine ni Santiago Cazorla

Jamaa anastahili kuwa MOTM. Alikaa vizuri katikati kitoto Grealish kilipotezwa chemba kama kipofu fulani.. Mechi kadhaa zilizopita alikuwa hachezi vizuri kwa maono yangu lakini leo ni yeye tu alikuwa anaunganisha mashambulizi. Nasikia Atletico Madrid wanataka kupandisha dau summer hii... Arsenal wafanye juu chini wampe mkataba mwingine kama Rosicky.
 
Pamoja sana Mkuu richard kitambo sana but leo umewakilisha kwa Update za uhakika.
#COYG .

Pamoja sana mkuu,

Ni boksi tu ndio huwa linanikaba lakini leo nimesema nna udhuru na nikasepa hawanioni hadi jumatatu.

Mimi ni mpenzi sana wa mpira na Arsenal na ndio usinambie kabisa.

Nipo natafuta habari za hapa na pale tunasubiri uthibitisho wa usajili wa Jackson Martinez.
 
Jamaa anastahili kuwa MOTM. Alikaa vizuri katikati kitoto Grealish kilipotezwa chemba kama kipofu fulani.. Mechi kadhaa zilizopita alikuwa hachezi vizuri kwa maono yangu lakini leo ni yeye tu alikuwa anaunganisha mashambulizi. Nasikia Atletico Madrid wanataka kupandisha dau summer hii... Arsenal wafanye juu chini wampe mkataba mwingine kama Rosicky.

Wenger alikuwa anampanga Cazorla kama mshambuliaji wa pembeni yaani namba saba na Cazorla yeye amezoea kucheza katikati kupika mavitus.

Sasa kuanzia kipindi cha pili cha msimu wa 14/15 Wenger akakubali kwamba Cazorla anafaa kucheza katikati na ndio ukaona mwenendo wa Arsenal kuanzia January mwaka huu mechi karibu tisa bila kupoteza hadi ilipofungwa na Swansea.

Tatizo kidogo ni kwamba Aaron Ramsey ndio sasa anacheza nafasi ya Cazorla ya namba saba ambayo nae hapendi.

Kuhusu Cazorla kuondoa Arsenal sio rahisi kwani clearance atakayofanya Wenger haitamhusu Cazorla, isipokuwa wachezaji kama Mikel Arteta na Mathieu Flamini.
 
Hahahahahaha Welbeck na RVP ndio wachezaji wawili waliochezea Manchester United in last 2 seasons wenye FA CUP trophy au sio? Nzi, Belo, Bulldog,DonDonald, everlenk,RRONDO.

Hahahahhahahahah!!!! Leo kwa raha zako jitanue ngoja mimi nipande chopa yangu niende Spain mchepuko leo una kamilisha ndoo nyingine..... Byeeeeeeee;!!!!!!
 
Hongereni gunners kwa kuchukua CHAMPIONS LEAGUE trophy ..

Aishi milele Wenger.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom