Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

LOL Good Ref... Hata hivyo inaelekea ilikuwa nje ya eneo la Penati..
 
Wakuu hili jamvi leo limekaa kiajabuajabu sana kuona notifications ni kwa mbinde, kutafuta threads nako ni mbinde hata kupost. Hivi hili tatizo ni kwangu tu au wenzangu nanyi mmeliona? Yaani ni karaha tupu CC: Invisible
 
Last edited by a moderator:
Majirani msifikiri tumeokota dodo chini ya muarobaini ila tumeokota dodo chini ya mwembe ni kawaida tuu
 
Khe Khe kheeeeeeeee....CC: Mentor


By BAK
Kuteleza si kuanguka, Winners of FA Cup for two consecutive years....Arsenal 3 AV 1 (May 30th, 2015)
By Mentor Ha!!!! Wewe ndo mtabiri nani vile?

Mentor anajiuliza ananunue jezi ya nani Grealish au Alexis Sanchez? Mentor atakuwa anazibua urithi pale alipo. Chelsea kaeni mkao wa kula Community Shield ni miezi miwili ijayo Aug 1st kama sikosei.
CC Ntuzu
 
Aston Villa si unafahamu waliifunga Liverpool kufikia fainali.

Hivyo si timu rahisi hivyo.

Aaa ile ilipigwa sita na stoke, inammiliki seasonal floooooop player balotelii, nyie jipigien tu, si mtakutana na Chelsea the pride of London kwenye ngao ya hisan eti?
 
Yo! Cazorla ni Player of the Match kwa muono wangu. Jamaa kainyamazisha Midfield ya Villa.
 
Kumbe Jack Glearish yumo uwanjani sasa ndio namwona anajiangusha akidai penalty!

Mwamuzi Jon Moss anasema no na anamwambia kijana acheze mpira ajifunze kutojiangusha kirahisi na nikijana mwenzoe Hector Bellerin ndie aliempa challenge.
 
Wakuu hili jamvi leo limekaa kiajabuajabu sana kuona notifications ni kwa mbinde, kutafuta threads nako ni mbinde hata kupost. Hivi hili tatizo ni kwangu tu au wenzangu nanyi mmeliona? Yaani ni karaha tupu CC: Invisible

Mkuu swala la notification tuliahidiwa lingeisha mwishoni mwa wiki hii lakini naona bado.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Aaa ile ilipigwa sita na stoke, inammiliki seasonal floooooop player balotelii, nyie jipigien tu, si mtakutana na Chelsea the pride of London kwenye ngao ya hisan eti?

Na si umesikia Chelsea wamezungumza na yule flop mwingine Falcao mwenye tatizo la goti.

Wakala wa Falcao bwana Mendez ndie wakala wa Mourinho.
 
Na yule Serena Williams baada ya kupoteza set ya kwanza, ameshinda set ya pili sasa wanaingia final set.
 
The Trophy is back..
Ubingwa mtamu sana ni ubingwa wa Goli nyingi..
COYG..
 
Hahahahahaha Wenger has 6 FA CUP trophies, Arsenal stand alone with 12 FA Cup trophies..... Najua mtabadili bendi na kukimbilia katika idhaa ya taifa EPL # Wasagasumu wote.
 
Back
Top Bottom