Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kaka welbeck aliiumiza timu yake ya zamani, leo hii fabiansk anawabania kama hawajui vile

Mkuu angalia na kombe Welbeck aliloiumiza timu yake ya zamani. Fabiansk kapigilia msumari palepale palipotoka mwiba.
 
sala zako zimesikilizwa.

Mkuu kwa watu tunaofahamu fitina za soka tunaelewa hili hasa wakati ligi inaelekea ukingoni lazima Wenger awarudishe kulekule alikowatoa mpaka kuanza kujifananisha na Ubingwa wakati wao wanachapa ya # 4.
 
Kucheza tucheze siye na kufungwa tufungwe siye, its a bad night, any way ts part of the game hongera kwa Swansea na #TeamMburukenge kwa ushindi macho yote kwa sasa ni next game with Man u.
#COYG .

Wenyewe mnaelewa kabisa kitakachowakuta hata hivyo msichoke kujipa moyo nafasi yenu ya miaka yote Liverpool hawezi kuichukua.
 
Big up Swansie.... Big up to Gomiz... you made my night mwaaaaaaa

Waitress plz.....
 
Imeniuma sana...... Makosa madogo madogo ndiyo yameiharibia Arsenal msimu huu. Msimu ujao inatakiwa kuwa makini zaidi..
 
Nafasi ya 2 muhimu msimu huu. Nina uhakika katika mechi nne zilizosalia tutapata points za kutufikisha nafasi hiyo. Manchester City na United watapoteza points weekend ijayo.

umeanza wewe leo hii.!?
 
Back
Top Bottom