Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mpira ni mchezo wa makosa, mmeshambulia sana lakn kosa la dk za mwisho linawaumiza, poleni watani, next week OT
 
Fabiasnki ni mamluki hovyo kweli. Ameshindwa kufanya makosa kama aliyokuwa anafanya wakati yupo Arsenal.
 
kaka welbeck aliiumiza timu yake ya zamani, leo hii fabiansk anawabania kama hawajui vile

Nilijua hii mechi itakuwa mechi kali kuliko zinazokuja. Hata hivyo nina uhakika tutawapiga ubaya Manchester united jumapili.
 
Muda si mrefu tutawasikia kina nanilii na wimbo wao wa "wenger out"
 
Kucheza tucheze siye na kufungwa tufungwe siye, its a bad night, any way ts part of the game hongera kwa Swansea na #TeamMburukenge kwa ushindi macho yote kwa sasa ni next game with Man u.
#COYG .
 
Back
Top Bottom