Tukiwafunga goli 5-0 tunakuwa juu ya Man City on GD na bado tutakuwa na mechi 1 mkononi. Sanchez for his first Arsenal hat trick, Welbeck ndio pekee hadi sasa mwenye hat trick kwa wachezaji wa Arsenal. Sidhani kama Ramsey alishafunga goli 3 mechi moja? Wacha1, BAK....Come on Gooners!!!!!!!!!!!!