Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I got you brother BAK.

Whatever,but I like your quotes style.


There is a possibility to play with them on the final match, but they have to be extra careful with AV and that guy Benteke is in excellent form, lol! hahahahaha wewe quote vile upendavyo 🙂🙂.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Thanks nifah We (gunners) are happy today that we won the game, it was not easy but once again we're in the final FA Cup game on May 30th, 2015 to defend what we did last year.

I got you brother BAK.

Whatever,but I like your quotes style.
 
Huyu jamaa yaani ingekuwa ni amri yangu asingekaa golini kabisa labda kama Ospina kaumia au anaumwa. Magoli mengi tunayofungwa akiwa golini husababishwa na kiherehere chake.

Hey, Shezny gifted them the equalizer as well.
 
Huyu jamaa yaani ingekuwa ni amri yangu asingekaa golini kabisa labda kama Ospina kaumia au anaumwa. Magoli mengi tunayofungwa akiwa golini husababishwa na kiherehere chake.

Jamaa alitukosti ubingwa wa Carling Cup vs Birmingham. Unakumbuka ile mechi? Nadhani hata mabeki hawamwamini kabisa.
 
Reactions: BAK
We acha tu mie nilivyoona kapiga zoezi la nguvu siku chache kabla ya hii mechi basi nikajua tu Wenger anataka kumpanga, ila nikawa naomba Mungu asifanye makosa ya kumpanga huyu. Kwenye final game akae mbali na goli si wa kumuamini kabisa huyu kwa kiherehere chake. Hata rekodi yetu nzuri katika mechi nyingi za hivi karibuni imesababishwa pia na Ospina kuwa makini sana golini, angekuwa huyu labda baadhi ya mechi tungepoteza.

Jamaa alitukosti ubingwa wa Carling Cup vs Birmingham. Unakumbuka ile mechi? Nadhani hata mabeki hawamwamini kabisa.
 
Jumapili tutakuwa tumechoka baada ya kucheza 120 Minutes. Natarajia Walcott acheze winga, Gabriel CB, Monreal LB, Bellerin RB. Tusipofanya makosa kama kawaida yetu vs Chelsea na Manchester United, tutaweza kuondoka na point 3.
 
Reactions: BAK




Prof akiingia Wembley



Welbeck hawezi kuwa No. 9 kama anavyopenda





Man of the match Alexis .... ... 2 goals and counting .... .



You will like this guy .... .



Sanchez struck clinically after Mesut Ozil passed to him excellently







Striker Sanchez (right) celebrates alongside team-mate Keiran Gibbs after scoring for Arsenal against Reading





Reading thought its over .... . ..




Prof akiwaambia vijana wasiwe na wasi wasi .. .
.



Gabby header .... ... .




Saved by a whisker ... ...








Every trick .. ... ... was used ... ..
 


Kos solid at the back ..



Cog alikuwepo .....



Prof was frustrated by poor decision from the referee
 



Who else ... .. .


















kufungwa kubaya asikwambie ntu ... ..



The two howlers ... .. .

Next Mafioso team at the Emirates - EPL Sunday 26th ... ... kick off 16:00 BST
 
Huyu jamaa yaani ingekuwa ni amri yangu asingekaa golini kabisa labda kama Ospina kaumia au anaumwa. Magoli mengi tunayofungwa akiwa golini husababishwa na kiherehere chake.

Tatizo sio wosjiech peke yake yake

  1. Tunapocheza games za CUPs hasa wembely tunaanza so Slow tunaruhusu unnecessary domination ya timu pinzani
  2. Welbeck kucheza kama CF bado sana to be honest OG is miles far away for him hakuna haja ya kucheza na welubeki na hasifanye enough movement pale mbele kama leo
  3. Kikosi cha akina Bellerin na Nacho ni bora zaidi
  4. Mesut game kama ya leo ambayo watu wanaparamia ana under perfome sana
  5. kwanini Mesut hapigi sehemu anayokuwa anaweza kufunga....mpaka analzimisha assist?

Bora wapite Villa maana LIVERPOOL kwa mtindo wetu huu wa kuanza slow kwenye games kama hizi watatumaliza ukumbuke kuwa wana machungu they will come for REVENGE
 
Reactions: BAK
Hili la kuanza mechi too slow nimeliona katika mechi zetu nyingi sana na kama jamaa wakifunga mbili za haraka haraka mchezo ndio umeshakwisha maana watakuwa na confidence ya hali ya juu na sisi kuwa desperate kutafuta goli la kupunguza gap. Na katika jitihada hizi defensive mistake nyingine inaweza kutokea na kutandikwa la tatu. Sijui kwanini Wenger halioni hili. Tunaanza mechi muhimu kama tuko mazoezini au mechi ya kirafiki.

 
Chelsea vs man united.........
 

Nasikia Jurgen Klopp anakuja Arsenal
 
Reactions: BAK
Hongereni kwa ushindi wa kwenda fainali..

Aise pole sana naona Mentor aka Mungiki Brother kakukimbia pale Ethad umebaki peke yako, naona pesa zimewapagawisha wachezaji wenu jipangeni tu chacha mwakani.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…