Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

_81818805_sanchez_reuters.jpg


Good 3 points for the Gunners ..... .... ... .. Well done boys
 
Namshukuru Mungu tumeshinda...lakini hali yetu ilikuwa zaidi ya mbaya(tete) hasa kipindi chote cha pili.
 
Gunners wamebakiza 8 matches Prof kawaambia vijana walete 24 points Emirates .... ... .#COYG
 
Duh hongereni majirani..ile second half ilikuwa balaa..NUFC walishambulia kama hawana akili nzuri.

Huyo dogo Ayoze akiendelea kupewa namba atakuja kuwa hatari sana siku za mbeleni...
 
Great win.OG anazidi kuonyesha yupo bora ya Flapio. Tusubiri tuone El trashico Liverpool vs Manchester United itakuwaje kesho.I'm going for a draw.
DonDonald,Malafyale,Nzi,Belo,Pazi.
 
kashengo ulikuwa umejificha sana late habario za masiku? Huku Alaska ndio kwanza kibaridi kinaanza kupotea tumejaa tele tuone hawa Magpies wataleta habari gani lakini naona vijana wako poa.

Ospina, Chambers, Gabriel, Koscielny, Monreal, Coquelin, Ramsey, Alexis, Cazorla, Welbeck, Giroud

#COYG

Nipo nimejaa Tele mzee

kesho Liver wanipigie manure alafu next week tumpige Liver safi kabisa...
 
arsene wenger hajaanza kuipigia kelele leo hiyo sheria ya awy goals, tangu msimu wa juzi tumekutana na bayern alfunguka kuhusu hiyo sheri so ni vizuri ikavunjwa kwasababu ni kandamizi kama ilivyokuwa kwa goli la dhahabu..... mnakumbuka robo fainali kati ya senegal na turkey ktk kombe la dunia 2002 korea kusini, goal la dhahabu lilitukera sana africa nzima..... sasa hv limeondolewa safi, na uefa nao lazima watumie technologia ya goal lines coz lile goal alofunga giroud juzi then kipa akalitolea kwa ndani lilikuwa goal.. so mambo kama hayo YAZINGATIWE UEFA...
 
Duh hongereni majirani..ile second half ilikuwa balaa..NUFC walishambulia kama hawana akili nzuri.

Huyo dogo Ayoze akiendelea kupewa namba atakuja kuwa hatari sana siku za mbeleni...
Chifu Mentor
Uliona ile marshal art ya Hazard?
 
Leo Wenger alionekana akitoa maelezo kwa vijana wake dakika zilivyokuwa zikiyoyoma. Si kawaida ya Wenger kuonekana akitoa maelezo kama leo. Nafikiri anatakiwa awe anafanya hivi mara kwa mara ili kuwaamsha,kuwatuliza au kuwatia mori.
 
Back
Top Bottom