Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Pole sana Teja. Mateja wenzio tulikuwa tunakenua tu kwa raha zetu. Yule Teja maarufu Fixed Point alionekana katililia kitop cha Gunners. Mwenyewe hudai akivaa kitop hiki siku ya game ya Gunners basi ushindi ni lazima na leo imethibitika hivyo kwa mara nyingine tena.


Niseme nini tena? Hongereni sana Arsenal fans.
 
Majamaa yakajifanya kufunguka toka kipindi cha kwanza na hapo ndipo wakawapa mwanya Gunner wa kucheza mpira mzuri na wa kutafuta magor, wangecheza ule mchezo wao wa mipirag mirefu wangetakata.
 
Reactions: BAK
Hujitambui weye!!! Naona unabwabwaja tu na kutaka kujifanya Sheikh Yahya!!! Kila la heri kwenye idara ya utabiri AKA usheikh Yahya.

 
Unajua kusoma kweli?
Kama unajua , soma nilichokiandika tena.

Usiwe unarukia daladala tu bila kujua inaelekea wapi.
Wewe humjui the gel??

Uliza mdudu Nzi.

mr am in gud mud and i dont wish to luz it fanya yameisha, gudnait
 
Paul Scholes: "When Man United face Arsenal on Monday, it is hard to see Arsenal winning."

Paul Scholes,M.Owen na Neville hawa jamaa hawajawahi kuona chochote kizuri kwa Arsenal ukiwasikiliza hawa wehu utashangaa,bado kauli ya Owen kua hatumalizi top four msimu huu.
 
Hujitambui weye!!! Naona unabwabwaja tu na kutaka kujifanya Sheikh Yahya!!! Kila la heri kwenye idara ya utabiri AKA usheikh Yahya.

Hajielewi huyo mkuu Wacha 1 sisi tujiandae na wembley.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
Hujitambui weye!!! Naona unabwabwaja tu na kutaka kujifanya Sheikh Yahya!!! Kila la heri kwenye idara ya utabiri AKA usheikh Yahya.
Wait a munite, Mr....Do I know you?
Uliangalia game ya Arsenal na Man. City?

Hii ya leo utailinganisha na ile?

Vizuri kuwa unajitambua na kuitambua timu yako/ yenu.
Haya bana..Proff amefanya kitu yake leo!
 
Reactions: BAK
Mlivyocheza leo..aina ile ya uchezaji ndio "on fire"?
Kama jibu ni yes, then "you will get burned".

Jifunze kuzoe hii hali uwa inaanza taratibu ila utaizoe tu haaaahaa inakera kulala na hasira ila haina jinsi fikiria utawezaje kumaliza top four ndio kombe rasmi lililobaki,Arsenal na Wembley ni kama barmaid na opener teheee teheeee semifinal ya 28 na kuna dalili za kua final inakera ila zoea maisha yako mapya na andaa champagne ukimaliza top four nakufundisha maana mimi nina uzoefu mkuu.
 
Reactions: BAK

Umepata harufu aliyoachia prof. Who??

Nonda alale? hasira? Top 4? Nijifunze kuzoea? Usinisaidie kurefusha maisha kwa kunichekesha.:smile-big::eyebrows:
 
BAK kale ka-nuksi ka world cup hakapo tena, nadhani umeshuhudia mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Reactions: BAK
bado mourinho...mana tushaondoa rekodi mbaya dhidi ya city,man u natumaini pia kwa mourinho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…