Manda
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 2,071
- 306
Sijui wat's happened, unajua nilikuwa naandika maoni na nika-send when i was on the ride, asa sijui yame-sepa wapi, manake ata thread sijaiona.Manda hebu leta maoni please........
Anyways this is what i wrote.
Arsenal lack of maturity ina wa-cost kwa mara nyingine, it doesnt make sense game ya pili mfululizo mnafungwa mabao kwa the same mistakes za mechi iliyopita.
Sikuona logic la Le Prof. kumwanzisha Theo as long as game ilikuwa phyique kiasi hicho, y nasema hvo?, muulize kwanini SAF kwanini Park huwa anaanza big games zote, Giggs/Nani anasugua?
Arshavin aliwambia mna game NNE, za kupruv s'thing, ya tatu hii mnaondoka na pointi moja. Sijui itakuaje as much as ninyi ni mabingwa wa kupoteza morali mkifungwa mfululizo na ule mda wakupoteana si ndio huu wajomba?😛😕😕🙄