ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,428
- 118,980
Weka dau kiongozi....!!!
Goons wakiwa wa 4 katika EPL nasitisha kuwa shabiki wa Man United kwa msimu ujao (msimu mmoja tu)
Ila lile dau la kuhamia Arsenal kama ikishinda UCL lipo pale pale...
Hiyo haipo realistic coz ushabiki upo moyoni
Kwahiyo huo ushabiki wa moyoni unauona?!
Ushabiki unaweza kuwa kwa njia nyingi: kuwa na kadi ya uanachama; kununua merchandise za timu; kununua tiketi kwenye mechi za timu; kushiriki mijadala katika fora mbalimbali za timu n.k.
Sasa bet yangu ndiyo imegusia masuala hayo...na wala si ya moyoni kama unavyofikiri..
Kwa hiyo unasemaje?
Goons wakiwa wa 4 katika EPL nasitisha kuwa shabiki wa Man United kwa msimu ujao (msimu mmoja tu)
Ila lile dau la kuhamia Arsenal kama ikishinda UCL lipo pale pale...
Kwahiyo huo ushabiki wa moyoni unauona?!
Ushabiki unaweza kuwa kwa njia nyingi: kuwa na kadi ya uanachama; kununua merchandise za timu; kununua tiketi kwenye mechi za timu; kushiriki mijadala katika fora mbalimbali za timu n.k.
Sasa bet yangu ndiyo imegusia masuala hayo...na wala si ya moyoni kama unavyofikiri..
Kwa hiyo unasemaje?
Kwa hiyo utaacha kuchangia MANU, kwenda kutizama game uwanjani na hata kwenye luninga? If so twende kazi...!!
Uko nchi gani kwani? Ukiwa Tz naona kama itakuwa ngumu unless una wadau wa kukutumia mzigo wa Arsenal toka maduka halali ya kuuza bidhaa za arsenal na timu ikafaidika na hilo pato. Pia ushabiki huu utakuwa wa unafiki tu, weka kando!
Huyo Ospina ndo hamna kitu kabisa
Tupinge hapa...
Goons wakiwa wa 4 katika EPL nasitisha kuwa shabiki wa Man United kwa msimu ujao (msimu mmoja tu)
Ila lile dau la kuhamia Arsenal kama ikishinda UCL lipo pale pale...
Popote nilipo naweza kununua merchandise halali za Man United..
Katika bet hii, kama nikishindwa basi nitafanya hivyo kwa kununua merchandise halali za Arsenal...
Hii ni bet chifu...hivyo nikishindwa sina namna, hata kwa unafiki itabidi nitekeleze bet yangu...unafikiri wanaofanya bet za pesa wanaposhindwa na kutakiwa kulipa, ulipa kwa furaha?!?
Baadhi ya individual players wanamuangushaga sana mzee wenger inayokuja ku cost na timu nzima..,,
Goons wakiwa wa 4 katika EPL nasitisha kuwa shabiki wa Man United kwa msimu ujao (msimu mmoja tu)
Ila lile dau la kuhamia Arsenal kama ikishinda UCL lipo pale pale...
Ndiyo maana yake...
Twende kazi..
Sasa kazi kwako, what's your bet?
My bet?? I'll stop supporting arsenal kwa mwaka...hayo mengine siwezi bet coz hata hivyo sichangii chochote..!
Usije kubadili ID tu coz hata jf hutaruhusiwa kutoa comments.
Poa endelea kujifariji!!!
Mkuu @Inzi anguko anguko au mwisho wa Wenger ni msimu huu mark my word..nakubaliana na wewe huyu mzee hana uwezo wa kuipa Arsenal top 4 spot..na hapo ndipo mashabiki na uongozi wa timu utokapo mfungia vilago..