everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Heri ya mwaka mpya mtani,
Asante sana mtani,nawe pia heri ya mwaka mpya, uwe na mwaka wenye mafanikio na baraka tele,jana ulianza poa ukaja maliza hovyo lakini si mbaya hata hiyo iko poa.
Heri ya mwaka mpya mtani,
Na kwako pia mtani....Asante sana mtani,nawe pia heri ya mwaka mpya, uwe na mwaka wenye mafanikio na baraka tele,jana ulianza poa ukaja maliza hovyo lakini si mbaya hata hiyo iko poa.
huu ndo msemo wa mwaka 2014
"wenger is specialist in failure"mourinho
Tuone huyo "mouthrinho" atamalizaje msimu. Mwezi ulopita mlisema atavunja rekodi ya "The invincibles" lakini hadi Leo keshanywea vikombe...!!
Na kwako pia mtani....
Ili mradi Chelsick alitandikwa mkono mmoja, ile hasira ya droo iliyeyuka kabisa. Naona hata wewe ulibaniwa mtani.
Kweli ndio soka, kipa jana sijui alikuwa kanywa usiku wake kusherehekea mwaka mpya maana dah!!!! goli zote mbili hazikustahili lakini ndiyo hivyo tumeshapwa.
Kweli BAK szczesny alikuwa bwax kabisa..
Yaani aliudhi sana jana, kama hauko fit si useme tu badala ya kuwa sababu ya timu kukosa ushindi au hata kutoa sare? Awekwe bench kwa kipindi kirefu ili atie akili kichwani.
Sasa hapo ndipo wengine tunapokuwa na wasiwasi na AW, usishangae vs Hull akacheza, eti "2 nd chance"! Tatizo boss wetu is a gentleman in the game which is vicious rough and result minded..Kazi ipo...
Nitamshangaa sana kama atamchezesha, lakini kama ulivyosema hili linawezekana kabisa maana hata yeye IMO kapewa 2nd chance for more than 10 years.
Jumapili kipa atakuwa ospina kwa mujibu wa press conference ya jana
Mwaka huu mjiandae kucheza Ueropa cup
Hakunaga kitu kama hiyo. Nafasi ya nne ni Arsenal miaka mia