Ni kweli Mkuu tunacheza vizuri, unapofungwa katika mechi ambayo ulistahili kushinda inauma sana Mkuu. Bora kusema tulizidiwa, lakini kucheza vizuri kiasi hiki halafu kupoteza 3 points noma sana Mkuu. 8 minutes to go and probably 7 additional minutes. Hata draw itakuwa ahueni Mkuu.