Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sanchez ndiye pekee nayemuona akihangaika huku na huko, kiukweli, Arsenal hii ya Wenger ina safari ndefu sana kushinda vikombe. Yaani mechi kama 10 tulizocheza tunaonekana kama timu ya kawaida kabisa. Kwangu mimi tatizo la Arsenal kubwa kwa sasa ni Wenger. Mabadiliko yanatakiwa. Kwa mpira tunaocheza, hata akichukua Kocha mwingine mabadiliko yatakuwa madogo sana, hakuna tofauti. Majeruhi isiwe kisingizio hata kidogo, kila timu ina wachezaji wanaocheza na dhidi ya timu zingine. Pia, Arsenal tunatakiwa tukubali mabadiliko, Arsenal bila Wenger bado itakuwapo. COYG!

.....?! dahh, sijakuelewa mshika bunduki mwenzangu. :coffee:
 
Inawezekana kwel AW ni mbishi na falsafa zake hazikubaliki kwa wengine, swali linakuja, AW akiondoka sasa nani atatufaa?!
Kocha gani kwa sasa anazo sifa kama za AW au zaidi?
Tusije tukawa kama Manure, tuwe waangalifu, tuna pt 6 Champs Lg, Premeir Lg tumepoteza mchezo mmoja tu, sawa sare nyingi, ila mechi tumecheza ni nane tu!
Makocha mbona wengi tu, mchukueni Moyes atawafaa kama awafaavyo Xabaranx.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Wakuu wa Gunners Prof amenyamazisha media yote wametulia totolo kama maji ya mtungi .... ... ... .... .. .


1414056266048_wps_4_BRUSSELS_BELGIUM_OCTOBER_.jpg


Kieran Gibbs baada ya kuweka chuma wavuni ... . .

1414056286449_wps_6_BRUSSELS_BELGIUM_OCTOBER_.jpg


Podolski akiandika bao la pili ... .... .


1414056290086_wps_7_Arsenal_s_Per_Mertesacker.jpg



BTW wakati wa first half nilipata ugeni wa dharula hivyo sikuwa online ....... ....... naona wenye usongo hata picha hawakuleta, sio mbaya next stop Sunderland ... ..
 
zp_Arsenal-U19-War-Memo_4B0F44_484.jpg



zp_Arsenal-U19-War-Memo_4B0F45_5232.jpg



zp_Arsenal-U19-War-Memo_4B0F46_1560.jpg



zp_Arsenal-U19-War-Memo_4B0F47_3360.jpg



zp_Arsenal-U19-War-Memo_4B0F48_7735.jpg



zp_Arsenal-U19-War-Memo_4B0F52_7259.jpg




zp_Arsenal-U19-War-Memo_4B0F55_3613.jpg


Wachezaji wa Gunners under 19 baada ya kumaliza mtanange wao
Walienda kwenye makaburi ya vita ya kwanza ya dunia.


 
  • Thanks
Reactions: BAK
Inawezekana kwel AW ni mbishi na falsafa zake hazikubaliki kwa wengine, swali linakuja, AW akiondoka sasa nani atatufaa?!
Kocha gani kwa sasa anazo sifa kama za AW au zaidi?
Tusije tukawa kama Manure, tuwe waangalifu, tuna pt 6 Champs Lg, Premeir Lg tumepoteza mchezo mmoja tu, sawa sare nyingi, ila mechi tumecheza ni nane tu!

Mkuu mimi sina wasi wasi kabisa na Le Prof haendi kokote hizi kampeni za kichizi tu za media timu ina majeruhi wengi Theo atashirikiana na Sanchez pale mbele utaona weekend hii na baada ya hapo, patachimbika tu ... ... COYG
 
Hahahahahaha lol!!!! Nakuonea huruma sana mdudu Nzi, kweli hali yenu ni mbaya sana. Kila la heri Jumapili nawaomba msimfukuze kazi Van Girl.

Dear goons,

Do you remember this?

 
Last edited by a moderator:
Hahahahahaha lol!!!! Nakuonea huruma sana mdudu Nzi, kweli hali yenu ni mbaya sana. Kila la heri Jumapili nawaomba msimfukuze kazi Van Girl.

Burudika na documentary hii…soka limekuwa softie sana siku hizi...

 
Last edited by a moderator:
Ahsante sana Mkuu Nzi nitaiangalia baadaye leo nafasi ikiruhusu.

Burudika na documentary hii…soka limekuwa softie sana siku hizi...

 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Nzi
Wakuu,leo game za wikendi naelekea kukosa kuziona, hii ya man city inayoendelea nimeshindwa kuona. Naomba mtu anisaidie mwenye application ya kuangalizia mpira, nilikua natumia Adhenet leo haitaki kufungua. Natumia PC kama itapatikana ya window phone pia nitashukuru.
 
Wakuu,leo game za wikendi naelekea kukosa kuziona, hii ya man city inayoendelea nimeshindwa kuona. Naomba mtu anisaidie mwenye application ya kuangalizia mpira, nilikua natumia Adhenet leo haitaki kufungua. Natumia PC kama itapatikana ya window phone pia nitashukuru.

Kwenye PC jaribu livefootballvideo.com
 
Szczesny, Chambers, Mertesacker, Monreal, Gibbs, Arteta, Flamini, Oxlade-Chamberlain, Cazorla, Alexis, Welbeck


Bench .. ... .. Martinez, Bellerin, Ramsey, Campbell, Rosicky, Walcott, Podolski
 
Back
Top Bottom