Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Nzi hiyo ni droo??
Achana nae...Bado anaweweseka na WBA
Last edited by a moderator:
Nzi hiyo ni droo??
Tumefungwa ngapi?
Happy birthday Wenger! Leo Mungu hakupe nini, lakini nimeona mashabiki still anataka aondoke.
Naona wazee wa droo kama Simba vile ..
Ndiyo kawaida ya goons hapa kawajambisha kidogo tu, basi wanasahau kila kitu na Wengometer inasoma kwenye green sasa...
Umefufukia wapi chifu?
​Huyu hapa everlenk, niambie umenuna au unatabasamu kwa ushindi wetu mnono 🙂🙂
Baada refa kupuliza kipenga kumaliza mchezo wakati wachezaji wa Arsenal wakishangilia ushindi, Sanchez alikuwa akitikisa kichwa.
Mcheki hapa: https://vine.co/v/Oh7rBAWMUxQ
BAK, Mbu, everlenk
Sanchez ndiye pekee nayemuona akihangaika huku na huko, kiukweli, Arsenal hii ya Wenger ina safari ndefu sana kushinda vikombe. Yaani mechi kama 10 tulizocheza tunaonekana kama timu ya kawaida kabisa. Kwangu mimi tatizo la Arsenal kubwa kwa sasa ni Wenger. Mabadiliko yanatakiwa. Kwa mpira tunaocheza, hata akichukua Kocha mwingine mabadiliko yatakuwa madogo sana, hakuna tofauti. Majeruhi isiwe kisingizio hata kidogo, kila timu ina wachezaji wanaocheza na dhidi ya timu zingine. Pia, Arsenal tunatakiwa tukubali mabadiliko, Arsenal bila Wenger bado itakuwapo. COYG!