Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mdudu Nzi anachungulia kwa mbali huku akiruka huku na kule kuzengea mzoga. Mdudu hakuna mzoga leo wafikishie ujumbe huu na #Mburukenge wote wa jukwaa hili mwanana.

Hahahaha!!! Poa poa bosi tumekupata lakini kwani dk 90 tayari?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Sunderland wanataka kurudisha goli hapa .... ... .. lakini wapi ... . .
 
Point tatu muhimu 2 up Sanchez extra time .. ... ... ... .
 
Its over at the Stadium of light.


1414248617972_lc_galleryImage_Oct_25th_2014_Sunderland_.JPG


Gus in trouble ... ... .. .
 
everlenk, taratibu tunapanda kwenye EPL table na kesho mkimshika shati Chelsea na kutoa draw ya 0-0 itakuwa bomba sana.

Dua zako hazinipati kamweeeee wewe kesho yako macho na masikio tu.........
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Hongereni sana Arsenal ila mngefungwa na Sunderland ingekua aibu sana.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mie nawaombea mema mtoe draw ya 0-0 ambayo kwenu ni ushindi mkubwa hutaki! 🙂🙂🙂 haya unaijua speed ya Chelsea kesho wakiwachapa 3-0 kibarua cha Van Girl ndio kitaota rasmi nyasi sijui mtarudi kwa SAF?

Dua zako hazinipati kamweeeee wewe kesho yako macho na masikio tu.........
 
Mie nawaombea mema mtoe draw ya 0-0 ambayo kwenu ni ushindi mkubwa hutaki! 🙂🙂🙂 haya unaijua speed ya Chelsea kesho wakiwachapa 3-0 kibarua cha Van Girl ndio kitaota rasmi nyasi sijui mtarudi kwa SAF?

Asante kwa dua zako niombee tu nishinde mbona unakuwa mgumu kulisema hili???Yaani kesho mtashangaa sipendi kujinadi sana,maajabu ya tembo kuangushwa na sisimizi,Tchao........
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mshinde halafu muwe juu yetu kwa 2 points? Ni bora tu mtoe draw ili msiwe mbali sana lol!!!! ikifika wakati muafaka tuwaage rasmi na kuwatimulia vumbi. Sare inawatosha kabisa ni sawa na ushindi mkubwa kwenu 🙂🙂

Asante kwa dua zako niombee tu nishinde mbona unakuwa mgumu kulisema hili???Yaani kesho mtashangaa sipendi kujinadi sana,maajabu ya tembo kuangushwa na sisimizi,Tchao........
 
Mshinde halafu muwe juu yetu kwa 2 points? Ni bora tu mtoe draw ili msiwe mbali sana lol!!!! ikifika wakati muafaka tuwaage rasmi na kuwatimulia vumbi. Sare inawatosha kabisa ni sawa na ushindi mkubwa kwenu 🙂🙂

Hahaha!!!! Utasubiri sanaaaaaaa!!!!!! Kesho Chelsea akipigwa mjue tu ndoo ni yetu. Niombee heri tu acha wivu bana!!!!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hahahahaha lol!!!! Si vibaya kujipa matumaini ati!!! na uje hapa jukwaani badala ya kujificha na kusepa kimya kimya mkishatundikwa goli za kutosha. Mie nakuombea kila la heri ila nakuomba usininunie. 🙂🙂

Hahaha!!!! Utasubiri sanaaaaaaa!!!!!! Kesho Chelsea akipigwa mjue tu ndoo ni yetu. Niombee heri tu acha wivu bana!!!!!!
 
Hahahahaha lol!!!! Si vibaya kujipa matumaini ati!!! na uje hapa jukwaani badala ya kujificha na kusepa kimya kimya mkishatundikwa goli za kutosha. Mie nakuombea kila la heri ila nakuomba usininunie. 🙂🙂

Hanuni mtu hapa hata tupigwe week(7)!!! Kesho nipo sana ila game sitaona ntakuwa safarini ntakuwepo kugonga like.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Ahsante kwa kuamua kutonuna lol!!! Uende salama na ujue kesho nitawashangalia kiaina aina lol! ili mtoe draw ya 0-0 msituangushe katika kuwapunguzia speed hawa Chelsea.

Hanuni mtu hapa hata tupigwe week(7)!!! Kesho nipo sana ila game sitaona ntakuwa safarini ntakuwepo kugonga like.
 
Ahsante kwa kuamua kutonuna lol!!! Uende salama na ujue kesho nitawashangalia kiaina aina lol! ili mtoe draw ya 0-0 msituangushe katika kuwapunguzia speed hawa Chelsea.

Mmmmmmm!!!! Poa tu siye tunasema watashindana lakini hawatashindaaaaaa!!!
 
Back
Top Bottom