Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hahahahahahaha lol!!! Watu wenye asili ya uchawi utawajua tu lol!!!! Sikuwahi kufikiria kwamba Nzi nao huwa wanawanga. Kumbe ukija kwenye jukwaa letu huwa unakuja kuwanga eeh!? Mdudu weye una mambo makubwa sana! Dah!

Watu wanawanga kwenye majukwaa ya watu huku wamekimbia kwao.

Cc: BAK Mbu
 
Last edited by a moderator:
Wemepata Ka ushindi leo bhasi wamefufuka kweli, Nadhan bado hawajajua kuwa timu yao ni kama mlevi anayepiga hatua 2 mbele, 10 nyuma na bado wanajipongeza.

Mbona wameshinda kwa taaaabu, wanapumulia machine hao. Walipaki basi nyumbani, sio utamaduni wa Manu, regardless wako wangapi.
 
Nawashangaa nami hawa, tumecheza na mpinzani wetu wa jadi ambaye hakuja kucheza mpira bali kusubiri makosa ya watu binafsi na counter attacks. Hawakuja kushinda bali kutafuta kutofungwa. Arsenal bado unbeaten.

.......not only that, kutuongezea idadi ya majeruhi pia.

#Wilshere Out,
#Ramsey Out,
#Arteta Out,.......we are a bit short ahead of Galatasaraay and Chelsea games aisee....

Wakati huo huo, #Rooney kwa kujua kijacho ni Everton na Chelsea, kajionea isiwe taabu, kaitafuta Red Card ya makusudi asijelaumiwa kwa aibu za game hizo.
 
.......not only that, kutuongezea idadi ya majeruhi pia.

#Wilshere Out,
#Ramsey Out,
#Arteta Out,.......we are a bit short ahead of Galatasaraay and Chelsea games aisee....

Wakati huo huo, #Rooney kwa kujua kijacho ni Everton na Chelsea, kajionea isiwe taabu, kaitafuta Red Card ya makusudi asijelaumiwa kwa aibu za game hizo.

hahahahhaha mbu umenichekesha
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
.......not only that, kutuongezea idadi ya majeruhi pia.

#Wilshere Out,
#Ramsey Out,
#Arteta Out,.......we are a bit short ahead of Galatasaraay and Chelsea games aisee....

Wakati huo huo, #Rooney kwa kujua kijacho ni Everton na Chelsea, kajionea isiwe taabu, kaitafuta Red Card ya makusudi asijelaumiwa kwa aibu za game hizo.

Soon Diaby na AOX nao watajiunga kliniki
 
Hii droo amepaniki hivyo wakianzishiwa vile vipigo vye mbwa mwizi tutasikia habari mbaya kwa huyu m'babu

hahahaha ............. halafu huyu mzee ana asili ya ubonge lakini timu ndio inamuangusha anakonda kila kukicha. nahis anatembeaga na mawe mfukoni.

Grand PA
 
hahahaha ............. halafu huyu mzee ana asili ya ubonge lakini timu ndio inamuangusha anakonda kila kukicha. nahis anatembeaga na mawe mfukoni.

Grand PA

Hahahaaa..!! Umenikumbusha mbali sana Grand PA ..

ImageUploadedByJamiiForums1412068460.420997.jpg

Arsenane walishindwa kumpa raha kama hizi akaamua kujipa mwenyewe azisahau shida
ImageUploadedByJamiiForums1412068516.051888.jpg
 
Last edited by a moderator:
zp_513186113_SM_3648_FC_187263_6522.jpg


Ahead of the CL Prof alikuwa anaendelea kuwanyima usingizi wapinzani
kitale Emirates kesho cha kukata na shoka
Asiye na mwana aeleke jiwe, na kabla ya mpambano under 19 of both clubs will compete.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
1412074985597_wps_11_Champions_League_Training.jpg


Theo na Serge Gnabry wamerejea mazoezini leo asubuhi na
next week watakuwa wakigombea nafasi .... ..

1412075043597_wps_12_Champions_League_Training.jpg


Jack shrugged off the weekend injury .... ....


1412078397357_wps_10_Champions_League_Training.jpg


All aboard for tomorrows show ... .. .


1412085749875_wps_92_ST_ALBANS_ENGLAND_SEPTEMB.jpg


Prof with the Ox ... .... ..


1412075253710_wps_14_Champions_League_Training.jpg


Alexis alikuwepo .. ... ... .. .

COYG
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hiyo siyo kliniki ya kawaida; ni ya rufaa! Yaani ni kama Muhimbili ya majeruhi wa soka!

Kuna jamaa (sijui pierre fm) ameniambia akina Jones, Smalling na Evans waende wakatibiwe hapo, nafikiri ni ushauri wa busara sana huo.

......na #Hererra mbona humtaji?, Jiandaeni na Falcao nae. :coffee:
 
Doh! Niliwasahau hawa! Kweli watafaa sana kuja hapo kwenye Muhimbili ya majeruhi wa soka.

......hahahaha, ndio maana Van Gaal kamtimua Tony Strudwick nini.....?!
 
gun__1402988788_overmars_petit_grimandi.jpg


gun__1401454449_490567251DP018_Arsenal_v_Hu.jpg


gun__1400483595_490567471DP012_Arsenal_FA_C.jpg


gun__1399103263_PA-1091882.jpg



gun__1395389855_zp_Wenger-Celebrates-040425AFC.jpg


gun__1390206208_PA-2834323.jpg


HAPPY ANNIVERSARY, Prof. ARSENE

The Arsenal manager celebrates his 18th year in charge at Arsenal on Wednesday. Here are some of his key numbers:


1,021 Games in charge at Arsenal.

He has won 590, drawn 230 and lost 201.


13 Trophies won by Wenger at Arsenal:
Three League titles, five FA Cups and five Community Shields.


1,880 Arsenal goals under Wenger - an average of 1.84 per game.


1,353 Premier League points won. Only Sir Alex Ferguson (1,752) has more.


1st In 1998, Wenger became the first foreign manager to win the English league title.


57.8 Overall Arsenal win percentage.
 
Back
Top Bottom