utafiti
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 12,783
- 7,671
......Come On Arsenal!!! :coffee:
Niko mbali na tv, vp huko kunauwezekano wakuondoka na points 3 ??
......Come On Arsenal!!! :coffee:
Hivi kliniki yenu haijajaa tu? Au ya kwenu ni ya rufaa? (Uwa haijaa?)
Walete na Evans, smalling na Jones watibiwe
Tots wametundika ukuta wa maana.
Hivi kliniki yenu haijajaa tu? Au ya kwenu ni ya rufaa? (Uwa haijaa?)
Walete na Evans, smalling na Jones watibiwe
Watakuja aisee...maana kliniki yetu ni ya kata!
Kuna umuhmu wa Arsenal kuzingatia counter attacks kwa umakini ukizingatia na Kiberenge ndio kinaingia.
Kwaaa kwaaa kwaaa!!
Ndo nini kujitekenya kisha kucheka mwenyewe? Umehehuka? Our fighting spirit will see us through with 3 points in the bag.