Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

bado Ozil! Wenger sijui anampendea nini?


Jamenijameni, huyu naye katoka wapi?! Nemo ni goons' record breaker katika transfer fees!! Sasa unataka apigwe benchi na kocha aliyevunja benki kwa ajili yake?!? Wenga si ataonekana kichaa!!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Inaelekea unaombea gem iishe hapo. Tw tw tw tw tw tw tw

Katika team ambazo hazinipi shida msimu huu ni Man city,tumempiga nne community shield na leo kaponea chupuchupu.Huyu ni mwali wetu
 
.......heshima na adabu, who's next?
Dortmund.

Haya, kesho macho na maskio kwa wazee wa 7Up!.

Arsenal, together we stand.
 
Jamenijameni, huyu naye katoka wapi?! Nemo ni goons' record breaker katika transfer fees!! Sasa unataka apigwe benchi na kocha aliyevunja benki kwa ajili yake?!? Wenga si ataonekana kichaa!!!
Kwani Arsenal akili zeo si zinafananatu
 
.......heshima na adabu, who's next?
Dortmund.

Haya, kesho macho na maskio kwa wazee wa 7Up!.

Arsenal, together we stand.

Tuone faida ya pound zote zile walizo tumia kusajili.Sisi hatuna hela ila tunakamua mwanzo mwisho,Man city leo alioga maji ya bahari
 
Back
Top Bottom