Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,261
- 1,253
Debuchy kaumia kaingia chambers!!sijui atakua kaumia sana maana ametolewa kwa machela uwanjani
Duh tumpa pole na tunaomba aweze kurudi mapema.
Debuchy kaumia kaingia chambers!!sijui atakua kaumia sana maana ametolewa kwa machela uwanjani
Kituuuuu...!!
2-2
Sawa kaka, mi nimetulia tetete kkkkkJipe moyo,kisaikolojia tuna chance kubwa ya kushinda,if you know the power of a come back
wakuu Gunner hii ni habari ya kweli maana najua huyu 7up(Manure) hana jema mkuu Nyaluhusu87 hebu tuhakikishie.
2-2 man city wamerudisha
mumetangulia stendi wakati nauli yenyewe anayo dzecosiku nyiiiingi sanchez amesha ziweka kibindoni
duuh dadadeki ni dakika ya ngapi sasa mkuu.
Ngojeni Dzeco azime mshumaaKweli mkuu 2-2 dk ya 87 now
mumetangulia stendi wakati nauli yenyewe anayo dzeco