Kupanic? Mbona tunatumia vitu visivyo, ntapaniki vipi wakati sipo katika situation ya kunipanikisha? Hili jambo la kulaumu wachezaji sijalisikia katika JF tu, kuna forums nyingi online naona wapenzi wa Arsenal wanamlalamikia mchezaji mmoja hadi mwingine. Ramsey, Giroud, Sanogo, Ozil hata wakiangalia pembeni wanalalamikiwa. Hawa ni binadamu huwa wana siku nzuri na mbaya, sio mashine zinazoendeshwa kwa mafuta au umeme. Inachosha, support team mkuu