Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Piga goli hao

Dakika inakwenda ya 84

Arsenal wanaelekea kushinda mechi hii kwa juhudi kubwa.
 
Pedro Proença Oliveira Alves Garcia mbona anapenda sana ku-flash kadi?
 
..........huyu refa natamani apigwe!......
Simuamini hata kidogo huyu,....anaweza fanya lolote kuharibu mchezo wetu.
 
Back
Top Bottom