Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Baada ya kuwaangalia Chelsea wakiongeza kapuni mwao magoli mawili na points tatu niko hapa nakodolea macho TV tayari kwa mchapo wetu na Everton. Ni mechi ngumu hii maana Everton ni wazuri na wana speed, I hope siku yangu leo haitaharibiwa. Ushindi mbele kwa mbele wa at least goli 2-0.

#InGunnersWeTrust

Naona utabiri wako umefanya kazi arifu 🙈🙈🙈🙈🙈
 
  • Thanks
Reactions: BAK
  • 70'
    SUPERB RUN FROM BAINES! The left-back beats three Arsenal defenders, then draws Szczesny out of his goal before pulling it back towards the danger area. Osman was a bit too eager to get to it, with the goal gaping, that he commits a foul and the chance is wasted.
 
  • 72'
    Less than 20 minutes remaining now, and despite a much better half from the Gunners, they have nothing to show for it. They still have a few attacking options on the bench, and it looks like they will be making some changes shortly.
 
Joel Campbell and Santi Cazorla on for Arsenal. Wilshere and Oxlade-Chamberlain come off
 
Hahahahaha lol!!!! Hata TB Joshua mwenye wafuasi zaidi ya bilioni huwa anakosea, itakuwa mie BAK!? 🙂🙂 lakini usisahau kwamba niliandika hapo juu kwamba mechi ni ngumu. Kwa maana hiyo nilijua kwamba Everton wanaweza wakatusimamisha.

Naona utabiri wako umefanya kazi arifu 
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
Mbaya ni kuwa tunaendelea kufungwa na our direct rivals kwa top 4 spots.
 
Nlitaka kupost hizi habari tangu jana ila jukwaa lenu sijui mliliweka mfukoni...!!

"Kelele zenu zimeshazimwa sasa vp mna la kujitetea au mnataka goli la tatu??"


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
  • 76'
    Everton makes a change of their own as the two teams gear up for the final 10 minutes. Romelu Lukaku is taken off to a thunderous applause from the hope supporters, as Aiden McGeady is brought on.
 
Hahahahaha lol!!!! Hata TB Joshua mwenye wafuasi zaidi ya bilioni huwa anakosea, itakuwa mie BAK!? 🙂🙂 lakini usisahau kwamba niliandika hapo juu kwamba mechi ni ngumu. Kwa maana hiyo nilijua kwamba Everton wanaweza wakatusimamisha.

💀💀💥💥💥🔥🔥🔥Hatari...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
75 mins: Everton's turn for a change. Lukaku comes off to a standing ovation. McGeady comes on to replace him
 
Mbaya ni kuwa tunaendelea kufungwa na our direct rivals kwa top 4 spots.

roflmao.gif
roflmao.gif
roflmao.gif
roflmao.gif
roflmao.gif
roflmao.gif
roflmao.gif
 
Mdudu Nzi ulikaa pembeni kujificha sasa ndio umeamua kushuka hapa...Ngoja nitafute X-pel nikupulizie lol!!!! 10 minutes to go, Everton are still leading 2-0

Hatari...
 
Haya Wenger ushahidi ni huo tunahitaji DM Arteta na Flamini wameshaishiwa tunahitaji muscles hapo katikati . Afu Wilshere antakuwa awe sub player sio starting player
 
Hahahahaha lol!!!! Hata TB Joshua mwenye wafuasi zaidi ya bilioni huwa anakosea, itakuwa mie BAK!? 🙂🙂 lakini usisahau kwamba niliandika hapo juu kwamba mechi ni ngumu. Kwa maana hiyo nilijua kwamba Everton wanaweza wakatusimamisha.

hearty-laugh.gif
 
Oh!!! God let's score at least one more goal
 
Back
Top Bottom