Gallas escapes punishment
Gunners defender will not face disciplinary action for challenge
Referee Wiley is said to have thought that the challenge was only a coming together and that was why he allowed play to continue.
The FA do not 're-official' matches. Kwahio na wewe mkuu jaribu kuheshimu maamuzi ya refa.una react kama ni first time kuona issue kama hio.chelsea wenyewe mshwahi kufunga goli kama hivyo wakati foul imetokea hamkucheza fair play au umesahau?
hii ratiba kama tukimaliza bado tuko juu ya table naenda kununua champagne kabisa naiweka tayari wala sina haja ya kusuburi manake nikiiona itakuwa inakumbusha kwamba kombe linanukia ha ha ha.What a menu @ Arsenal FC!!!!!!!!
Jan 24 Sun The FA Cup Stoke City Vs Arsenal
Jan 27 Wed Barclays Premier League Aston Villa Vs Arsenal
Jan 31 Sun Barclays Premier League Arsenal Vs Manchester United
Feb 07 Sun Barclays Premier League Chelsea Vs Arsenal
Feb 10 Wed Barclays Premier League Arsenal Vs Liverpool
throug this unscrathed ... ur champions 2010
Duh! Haya maneno yanayosemwa kwenye hii thread yanatisha, naona Le Arse wameshachukua kombe tayari...tarehe 20/01/10.Naomba unikumbushe mkuu! thats is unsporting behavior n two wrongs do not make it perfect!
masanilo aliwapachelsea kombe toka septmber mkuu ,usiwe na wasi wasi ni kawaida ya washabiki wa michezo leo kwako kesho kwa mwenzio.tuache tu-enjoy mkuu kama wewe ulivyokuwa una enjoy ushindi raha asikudanganye mtu.Duh! Haya maneno yanayosemwa kwenye hii thread yanatisha, naona Le Arse wameshachukua kombe tayari...tarehe 20/01/10.
masanilo aliwapachelsea kombe toka septmber mkuu ,usiwe na wasi wasi ni kawaida ya washabiki wa michezo leo kwako kesho kwa mwenzio.tuache tu-enjoy mkuu kama wewe ulivyokuwa una enjoy ushindi raha asikudanganye mtu.
Duh! Haya maneno yanayosemwa kwenye hii thread yanatisha, naona Le Arse wameshachukua kombe tayari...tarehe 20/01/10.
issue ya gallas kuna refa ina depend kaonaje na yeye kashasema alichokiona.kuhusu fair play,mpira unaenda kwa kasi sana kwahio its not easy baada ya tackle hile next player angepiga mpira nje hapo hapo. play inaendelea mpaka hapo move yote itakapo tulia na refa ana haki ya kupiga filimbi kama aliona kuna kosa limefanyika.hii imekuwa issue kwa vile the end of it was a goal kama isingekuwa goli msingepiga kelele.mbona everton walitaka kutufunga juzi baada denilson kudondoka na hatukuwasikia kuhusu fair play?Hizi tunaita ni pombe! Mbona hujibu swahi langu la msingi horror tackle of Gallas on Bolton Kelvin Davies which was important build up on Arsenal equaliser????......unaweza onyesha sehemu nikikabidhi kombe Zebluez September?
....daah,
yaani kwakuwa ile 50-50 tackle, Davis ndiye aliyeumia na sio Gallas basi imekuwa 'gumzo' mpaka tunaletewa mifano ya mwaka 47 ya kina Roy Keane na 'Elfu' nani sijui...duuh?! 😱
Hata Eduardo alivunjwa mguu, au kwakuwa yeye ni wa Arsenal?
Nyie Chelski bana vitimbwi sana nyie wallahi... Tumelingana pointi tu, By mwisho wa wiki mtaongoza tena, mnasikia sana?
Masa, poa moto bana, kutesa kwa zamu, ikifika wikiendi huenda nasi tutakuwa hatunywi maji hapa... 😀😀😀
Mkuu wewe tena duh! Nafasi ya 5? Hata kama senior team wote waumie basi timu yetu ile ya Yosso bado inao uwezo wa kumaliza ligi juu ya Liverpool, Spurs na Villa.Tatizo la Arsene Wenger akisha fika kileleni anabweteka hawakiwii kushushwa mpaka nafasi ya 5.
Can you saya this again man. Arsenal haiwezi kumaliza nafasi ya 5 hata siku moja tena klwa trend ya sasa ni vigumu zaidi. Wachezaji wamekomaa wanajua wanataka nini na ndio watakachopata msimu huu "Ubingwa"Mkuu wewe tena duh! Nafasi ya 5? Hata kama senior team wote waumie basi timu yetu ile ya Yosso bado inao uwezo wa kumaliza ligi juu ya Liverpool, Spurs na Villa.
Masa let it go mkuu, ni sawa kwamba Gallas alikuwa late na ameenda juu ya mpira lakini siwezi kuita horror tackle, tumeziona tackle mbaya zaidi na wachezaji kukatika miguu , kuvunjika ankle etc, Davies ameshafanyiwa scan na damage sio kubwa kama ilivyokisiwa. Yes it was a foul, it was late but the Referee and the FA has made the decision not to punish Billy, he went for 50-50 ball with no intent to injure Davies. Na naamini hata Davies angeendelea kuwemo uwanjani bado tungewafunga, Pressure ya mashambulizi ilishawazidi, vile vile nao Bolton bahati yao kumaliza na watu 11, baadhi ya wachezaji wao kama Muamba Refa alimpenda alifanya faulu kadhaa dhidi ya Fabregas na alipewa kadi ya njano tu.Hizi tunaita ni pombe! Mbona hujibu swahi langu la msingi horror tackle of Gallas on Bolton Kelvin Davies which was important build up on Arsenal equaliser????......unaweza onyesha sehemu nikikabidhi kombe Zebluez September?
Arsenal bado inaongoza ligi wadau wa chama. Am very happy for this kwakweli bra
thanks kwa fixture braNext 7 fixtures jamani,
fingers crossed tusipate ,majeruhi zaidi ya hawa tisa tuliokuwa nao. Thanks God tumempata Campbell pale incase Varmaellen au Gallaas wakiumia,... wasiwasi wangu pale kwenye Defensive midfield, -Diaby ndio huyo majeruhi, Song yupo Africa...
Striker kwa sasa Alhamdulillah hatumhitaji ki viiile... magoli yananyesha kama mvua za masika vile, ukiziba huku zinanyesha kule...
January
24SunThe FA CupAStoke City 13:30 ITV1 27
WedBarclays
Premier League
AAston Villa 19:45 ATVO31Sun Barclays Premier LeagueHManchester United 16:00 SS1 February
FA07Sun Barclays Premier LeagueAChelsea 16:00 SS1 10Wed Barclays Premier LeagueHLiverpool 19:45 SS1 13Sat The FA CupNRound 5 ATVO 17Wed UEFA Champions LeagueAFC Porto
hapo kwenye defensive midfield ndio napaogopa sana mkuu.kipindi hiki kigumu kinakuja ndio maana nilikuwa naomba cameroon watolewa mapema tu lol.wenger achelewi kumueka campbell beki na kumpeleka varmelen midfield pale kama tukizidiwa.Next 7 fixtures jamani,
fingers crossed tusipate ,majeruhi zaidi ya hawa tisa tuliokuwa nao. Thanks God tumempata Campbell pale incase Varmaellen au Gallas wakiumia,... wasiwasi wangu pale kwenye Defensive midfield, -Diaby ndio huyo majeruhi