Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kama nilivyokwishasema Jumamosi, mzee Wenger inabidi asajili mshambuliaji makini na DM kijana. Arsenal tunahitaji washambuliaji zaidi ya wanne.

Mikael Arteta anazidi kuchoka kutokana na umri na hali hio inasababisha Arsenal kukaribisha mashambulizi mengi ndani ya eneo lao.

Pia hali hiyo inawafanya Aaron Ramsey na Santi Cazorla wawe wanarudi nyuma kutafuta mipira ambayo ingekuwa inarudishwa na Arteta.

Hali hiyo pia inamchosha sana Jack Wilshere ambae inabidi awe anakwenda mbele kutafuta magoli na kuacha eneo la wazi pale katikati ambalo inabidi aliangalie pia.
 
Kama nilivyokwishasema Jumamosi, mzee Wenger inabidi asajili mshambuliaji makini na DM kijana. Arsenal tunahitaji washambuliaji zaidi ya wanne.

Mikael Arteta anazidi kuchoka kutokana na umri na hali hio inasababisha Arsenal kukaribisha mashambulizi mengi ndani ya eneo lao.

Pia hali hiyo inawafanya Aaron Ramsey na Santi Cazorla wawe wanarudi nyuma kutafuta mipira ambayo ingekuwa inarudishwa na Arteta.

Hali hiyo pia inamchosha sana Jack Wilshere ambae inabidi awe anakwenda mbele kutafuta magoli na kuacha eneo la wazi pale katikati ambalo inabidi aliangalie pia.

Tunahitaji WC midfielder na sharp foward linking peace inakuwa imekamilika
 
Arteta yupo chini ameumia mguu, anasema yupo ok na yupo tayari kuendelea na game.
 
Dakika ya 50

Besiktas 0-0 Arsenal

Arteta kaumia...Anatoka..Anaingia Flamini
 
Arteta anashindwa kuendelea na game na anatoka nafasi yake inachukuliwa na Mathieu Flamini
 
Tusipoangalia tutapigwa goli muda si mrefu. Tunapwaya defending.
 
Ramon Motta wa Besiktas anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea vibaya Alexis Sanchez.
 
55'

BES 0 - 0 ARS
Mechi kama inachezwa Old Moshi vilee kwenye utelezi ila refa kaona kama mnashindana sasa ni zawadi kwa kwenda mbele


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Tusipoangalia tutapigwa goli muda si mrefu. Tunapwaya defending.

Tumepwaya kwenye kiungo...Wanapoteza mipira hovyo...Pia Wilshere na Cazorla wamefichwa...Giroud na Ramsey ndo usiseme....Sanchez inabidi arudi kudefend...

Flamini kalambwa yellow pia...
 
Back
Top Bottom