Teh teh teh bahati mbaya umekuta watu wana Gik, inasafisha kila aina ya Shombo.
Haya bana...nimekuwa mdogo leo...
.. Mwanzo mzuri...!! Hope it goes well mpaka May..COYG!!
wakikwambia mmebahatisha wewe wajibu Özil hayupo
Naona kama kawaida jukwaa limejaa,ukifika wakati watakaobaki watakuwa wanahesabika
.....yeah man! It's a marathon mpk May panapouzima. Safari hii si ndetichia na Ab-Titchaz wa ManCity, au Mentor na Ntuzu wa Chelski wanathubutu kuleta jeuri yao hapa ya kujitangazia ubingwa kabla ligi haijaanza...
......#Liverpool tu kina Pazi na wengineo ndio naona midomo juu juu as if #Ubingwa mwaka jana waliukosa kibahati bahati. Tutawaona msimu huu wakishiriki pia Champs League.
Kina Nzi na Belo, wazee wa 7Up weshajizoelea sasa, kimyaaaaaa!!!!
All the best #Gunners wote, !!!
#MosKwito !
sisi ndo mabingwa mtake msitake #trueblue #LONDONpride
Ngojeeni leo usiku tuwaoneshe. Mourinho keshasema hachagui kikosi cha kushinda, la hasha, kwa maana hata kabla ya mechi tushashinda! Kinachompa shida ni kuchagua kikosi kitakachofunga magoli mengi...leo usiku tunakaa kileleni!!!
sisi ndo mabingwa mtake msitake #trueblue #LONDONpride
Ngojeeni leo usiku tuwaoneshe. Mourinho keshasema hachagui kikosi cha kushinda, la hasha, kwa maana hata kabla ya mechi tushashinda! Kinachompa shida ni kuchagua kikosi kitakachofunga magoli mengi...leo usiku tunakaa kileleni!!!
ujumbe murua kabisa; kikosi kitakachofunga magoli mengi. leo ni leo.:A S-eek:
Kabla hatujaongelea baadae me naomba kwa sasa ukanitafutie
Mndengereko, mfarisayo , PRONDO na wakongwe wa kupotea kama Tcleverly.