Hahaaaa #Haters kumbe bado mna mnuso humu Jukwaani??? Ngoja FA ndo dawa yenu nyie #TEamMburukenge na msemo wenu wa (#9YearsTrophless)
......COYG!!!......WHERE ART THOU?
TOGETHER WE STAND,......dahhhh, msimu ndio unakata kona,
soon majukwaa yatakauka story haya,...
One final EPL game, then closing the curtain kwa FA cup final...
dahh,...cant wait for the day aisee,...MwenyeziMungu atuweke hai na uzima.
Naiona siku hiyo atashinda Nzi hapa aliyevaa Belo la Mndengereko! si unawajua tena
hawa watu kwa domooooo!
Ntuzu keshajikubalia matokeo sasa, kimyaaaaa na Mentor wake.
Come on you Gunners!...one final push!!!
kamanda Wacha, rubaman, Sizinga, Wandugu Masanja, Balantanda, piere. Fm, Ng'wamapalala et al..
...#TogetherWeStand !!!
NI kweli, Records hazidanganyi mkuu!!
2005 – The "Park The Bus" Final21st May 2005Arsenal 0 Manchester United 0 (Arsenal won 5-4 on penalties)
Millennium Stadium
Attendance: 71,876
Jens Lehmann, Lauren, Kolo Toure, Philippe Senderos, Ashley Cole, Cesc Fabregas (Robin van Persie), Patrick Vieira (captain), Gilberto Silva, Robert Pires (Edu), Jose Antonio Reyes, Dennis Bergkamp (Freddie Ljungberg).
Penalty scorers: Lauren, Ljungberg, van Persie, Cole, Vieira.
Nhamala Ntuzu upo?. The special one anasemaje?.Huyo Ng'wamapalala ananichokoza! Wewe tangu lini Msukuma Wa Nkoma baliadi akapenda TIMU yenye jezi nyekundu!?
Chief Nzi point yangu ilikuwa imejikita kwenye uwanja wa Wembley katika final match za FA cup ambapo match ya mwisho ya FA cup ambayo tulifika final tulicheza katika uwanja wa Wembley na kushinda.I thought the last time goons played FA cup final was vs. Man United in 2005? Ng'wamapalala
Nhamala Ntuzu upo?. The special one anasemaje?.
Nilikueleza kipindi kile kuhusu uwezekano wa timu yako kutokuwa bingwa wa EPL pamoja na kwamba ilionekana inaweza kuwa bingwa.
Jezi ya blue na Msukuma wapi na wapi?. Hata kwenye ngoma huwezi kumuona ngika au ngalu amevaa nguo ya blue.
Rangi nyekundu inakupa ujumbe kuwa ni hatari tupu, kaa mbali!.
Kilichobaki ninyi kwa sasa ni kwenda holiday baada ya kuondoka mikono mitupu katika mashindano yote pamoja na kutumia pesa nyingi!. Mimi angalau bado nina matumaini ambayo yatajulikana tarehe 17 May kwenye mida ya 19:00 GMT.
Mkuu Sizinga Huyo ndugu yangu Ntuzu anataka kuukataa ukweli ndani ya mantiki. Nilimwambia mapema kuwa pamoja na kwamba timu yake inaonekana kushinda EPL lakini haina maana kwamba watashinda. Jibu amelipata Jumapili ya jana.Lakini Records huwa hazidanganyi Ntuzu, manake hata ukichachua ukweli utakuwa wazi tu...ni kama historia vile. Uzuri ni kwamba nyote nyie mnajuana mmetokea kwenye milima ya URAMBO.
My fellow Gunner Sizinga point yangu ilikuwa ni kuangalia historia ya timu yetu kucheza kwenye FA cup final Wembley stadium. Kama ulivyobainisha, hiyo match ilichezwa Cardiff ndiyo maana sikutaka kuigusa.NI kweli, Records hazidanganyi mkuu!!
2005 – The "Park The Bus" Final21st May 2005Arsenal 0 Manchester United 0 (Arsenal won 5-4 on penalties)
Millennium Stadium
Attendance: 71,876
Jens Lehmann, Lauren, Kolo Toure, Philippe Senderos, Ashley Cole, Cesc Fabregas (Robin van Persie), Patrick Vieira (captain), Gilberto Silva, Robert Pires (Edu), Jose Antonio Reyes, Dennis Bergkamp (Freddie Ljungberg).
Penalty scorers: Lauren, Ljungberg, van Persie, Cole, Vieira.
Nimekusoma mkuuMy fellow Gunner Sizinga point yangu ilikuwa ni kuangalia historia ya timu yetu kucheza kwenye FA cup final Wembley stadium. Kama ulivyobainisha, hiyo match ilichezwa Cardiff ndiyo maana sikutaka kuigusa.
Nadhani utakuwa umenielewa poiny yangu.
Once a Gunner, Always a Gunner
Ninashukulu ndugu yangu Ntuzu . Kumtafuta ndugu yako kwa mema ni baraka.Mkuu Ng'wamapalala Habari ZA Siku Ni Nzuri tu ndugu yng! Nimeona hatutafutani Mkuu nikaona nikutafute!
Wewe uvae nguo nyekundu Umekua mchawi! Nguo zetu Ni nyeusi Na blue! Mimi mpk shuka zangu ZA kujifunika Ni blue!
Pamoja sn Mkuu!
Ninashukulu ndugu yangu Ntuzu . Kumtafuta ndugu yako kwa mema ni baraka.
Pole kwa yaliyowapata katika mashindano yote. Msimu huu mmerudi nyuma kulinganisha na Msimu uliopita!. The Special one lazima apewe P45 na aonyeshwe mlango wa kutokea!.
Niaomba utuombee neema nasi kwenye match yetu ya tarehe 17 May.
Chief Nzi point yangu ilikuwa imejikita kwenye uwanja wa Wembley katika final match za FA cup ambapo match ya mwisho ya FA cup ambayo tulifika final tulicheza katika uwanja wa Wembley na kushinda.
Match yetu na Man United kwenye FA cup final haikuchezwa Wembley bali ilichezwa Cardiff kwenye uwanja wa Millennium.
Ninafahamu tulishawahi kutandikwa na Chavs mwaka 2009 kwenye semi-final ya FA cup ambayo pia ilifanyika Wembley Stadium, lakini sikutaka kugusa kwa sababu haikuwa mzizi wa point yangu.