Nakataa..Alafu unaweza kuwa umelewa
fergie alikuwa na jopo la washauri wa kiufundi nyuma yake...mike phelan, rene maulenteen na wengine...kisha Fergie alikuwa good tactician...not that predictable, pia timu ya manure haikumbwi na injury crisis kama Arsenal
ukiangalia kwa makini utagundua kuwa defence yetu inacheza 'High line" sio "deep" na hii aina ya mchezo ni suicidal kama viungo wenu wanapoteza mpira kirahisi mtafungwa kwenye counter attacks...barca wanacheza High line ila wana world class midfielders kuwin every ball sio Arsenal ya Arsene wenger..
wachezaji tulio nao ni top class except Giroud...ila Tactical awareness ya kocha wetu ni majanga...
players by players sie na timu kama LIVERPOOL wanatuzidi Struridge na Suarez basi...usizungumzie Everton..tuko miles nyingi sana juu yao...lakini wametupiga "convicingly"
Tactical bankrupcy...tusipepese macho, i like the old man but his time is up...akubali yaishe tu
Mbona Jose hujamtaja hapo? Au Ancelot Wa Madrid?
umeishiwa hoja. wenger hajawahi kushinda kombe england na timu aliyoitengeneza complete.FACT. aliowakuta walipoondoka tu makombe yamekata miaka 9 sasa,may FA CUP anaweza kushinda may
Poleni sana ndugu zetu
Tatizo kubwa la Wenger ni kutochange tactics kutokana na timu anayocheza nayo kucheza na Stoke,WestHam ni tofauti kabisa kucheza na Liverpool au Man City
Sijui kwa nini anapenda wachezaji wanaofanana sioni tofauti ya Rosisky,Wilshere,Arteta,Cazorla,Ramsey,Ozil.Flamin ndio yuko tofauti na mchango wake umeonekana anahitaji viungo wakabaji at least 2
Kuna wachezaji hawana msaada wowote Monreal,Arteta,Podolski,Bertnder awauze then anunue at least striker 2 kumpa pressure Giroud still ni mchezaji mzuri ingawa mashabiki wengi wa Arsenal wanamuona hafai
Still naamini Arsenal atamaliza ligi nafasi ya nne
.......they said it was all over? It is now......#COYG , let us pick up our pieces and move on!
Tuanzane na #postmortem sasa, au bado wenzangu mna matumaini ya #lifesupportmachine aka "mathematically" speaking we still have chances for this and that?
Bro Wacha1 haya matokeo yanafadhaisha, but we are the #Gunners , there's still life after all this trauma..... We'll always bounce back,....keeping the faith!
.... Richard wapi analysis zako mkuu, Balantanda, njoo utupie madongo huku, Viper, rubaman, Wandugu Masanja, Piere. Fm vipi banaa, tuendeleeni kubanana humu!
......#COYG , it's a battle cry, Together We Stand!!!!
View attachment 149788
#MosKwito !
Hakika nakubaliana nawe ndugu Belo, tatizo kubwa la Wenger ni kutobadili mbinu yaani kutokuwa na plan B na kitu kingine ni kuwa binafsi naaminin kuna tatizo katika medical room (clinic) ya Arsenal coz ni katika kila msimu inapofika wakati ligi imekuwa ngumu na imechachamaa ndipo wachezaji wengi muhimu wanapata majeraha na wale waliopona majeraha utasikia wameumia tena mazoezini.
But all in all kama ulivyosema kuna umuhimu wa kupunguza wachezaji magalasa na wasio na umuhimu na kutafuta wachezaji wengine muhimu kuna wachezaji kama Diaby, podolsk, bendtener, monreal, park, Arteta wote hawa wameshachoka wanatakiwa kuondoka pia wenger hana kiungo mkabaji wa maana kila siku anamlazimsha Arteta acheze hapo na pia hakuna kiongozi ndani ya Uwanja.
Kwa upande wa Giroud to be honest ni mchezaji ambaye kama akiwa Arsenal basi anatakiwa awe anacheza katika mashindano ya FA cup au Capital One.
Monreal,Arteta,Podoski wote ni Top players kitu kilichopo ni jinsi ya kuwatumia...
Ukitizama kwa makini mtu kama Monreal huwezi kumchezesha na Left winger kama podoski au Santi Cazorla ambao hawana Pace ukategemea mambo kuwa mazuri...upande ule weka mtu mwenye kasi na anae track back....kiukweli podoski na Santi ni attacking minded with limited Pace...matokeo yake ni kumuexpose Left back
Arteta ni AMD sio natural Defensive midfielder..Na kitu kingine anakosa Speed na Energy ya kutosha...sio kosa lake kucheza Defensive Midfielder anapewa majukumu hayo..lakini kwa tuliomuona toka everton jamaa ni AMD mzuri sana...
Podoski ni mchezaji mzuri sana ila timu ikiwa na mipira..ikiwa ina possess mipira na Counter..ila timu ikizidiwa ni Liability sana kwani hakabi na sio Dribbler mzuri na hawez kumpita beki
Lakini hii ni down to a manager kuwa utilize vizuri kwani Everton mbona wako vizuri je wao wana wachezaji gani? Unagundua ni Tactics za kocha wao na Motivation anayotoa
WENGER anaweka "Imani kubwa" sana kwa wachezaji na inamgharimu sana...vipigo vya paka mwizi Usilaumu wachezaji ni.Game plan mbovu aliyoiandaa kocha...
Nawasilisha
Yap mkuu kiukweli arteta siyo Holding midfilder but Wenger anamlazimisha kutokana na kutokuwepo kwa DM pale Kuhusu Monreal binafsi naamin kazoea mpira ule wa kihispania yaani ili Monreal aonekane mzuri zaidi basi inatakiwa timu imiliki mpira kwa saana kinyume na hapo ndio inakuwa kama kawaida yake kwamba badala ya kukaba mtu anaanza kurudi nyuma.
Kuhusu Podolsk ye ni waz kuwa siyo mtu wa pembeni bali ni mtu wa kati na kulingana na mfumo anaoutumia Wenger wa kusimamisha mshambuliaji mmoja kati ni wazi kuwa Podolsk hawezi podolsk ni mzuri zaidi kama akisimama katikati na mwenzake (yaan wawe washambuliaji wawili mbele.)
So kwa kiasi fulani naweza kubaliana na wewe mkuu kwamba mzee Wenger kaishiwa mbinu za Ziada.
Kila msimu huwa hivi, wachezaji wanachoka coz ni walewale, wengine makinda hawana uziefu
ili upate mataji unahitaji mambo 3 ya msingi mnisikie majirani zetu wa london:
1. timu bora(yenye wachezaji wanaopenda kushinda na wanochukia kushindwa)
2. kocha bora (ambaye haridhiki na kuwa top 4; badala yake anaridhika na mataji.
3. mashabiki
arsenal kwenye #3 mmefaulu kabisa; arsenal nyinyi mashabiki wazuri mnao; tena wavumilivu kabisa.
ila kwenye #1, na #2 sina uhakika sana..jipangeni upya..
jifunzeni kufanya maamuzi magumu..chukueni kocha imara; kocha wa mataji..mnasubiri nini?
hivi unadhani Wenger anaridhika na kuwa top 4. Kocha ambaye kashaonja raha ya kubeba ubingwa hawezi kuridhika na kuwa top 4. Arsenal wangekuwa na pesa za kununua wachezaji wazuri kama timu nyingine eg Chelsea, City wangekuwa wana uwezo wa kugombania ubingwa. Anyway, naamini misimu ijayo Arsenal wanaweza kuanza kununua wachezaji wazuri ingawaje hanunua wachezaji kwa pesa za kumwaga kama Real Madrid, Barca, City,Chelsea lakini watakuwa bado ni wazuri.
Afu hii kitu ya FFP itaweza kuwasaidia(kugombania wachezaji wazuri) kwa kiasi fulani sababu timu kama City,Chelsea hazitakuwa zinamwaga pesa ovyo ovyo bila kuzingatia revenue(Balancing book) zao zinavyokwenda.
hivi unadhani Wenger anaridhika na kuwa top 4. Kocha ambaye kashaonja raha ya kubeba ubingwa hawezi kuridhika na kuwa top 4. Arsenal wangekuwa na pesa za kununua wachezaji wazuri kama timu nyingine eg Chelsea, City wangekuwa wana uwezo wa kugombania ubingwa. Anyway, naamini misimu ijayo Arsenal wanaweza kuanza kununua wachezaji wazuri ingawaje hanunua wachezaji kwa pesa za kumwaga kama Real Madrid, Barca, City,Chelsea lakini watakuwa bado ni wazuri.
Afu hii kitu ya FFP itaweza kuwasaidia(kugombania wachezaji wazuri) kwa kiasi fulani sababu timu kama City,Chelsea hazitakuwa zinamwaga pesa ovyo ovyo bila kuzingatia revenue(Balancing book) zao zinavyokwenda.
Hiyo FFP ni kama kiini macho imeanza tangu 2011-2012 lakini still timu zimeendelea kununua wachezaji,msimu huu Man City wamewanunua Fernandinho,Navas,Negredo,Demicheles na Jovetic while Chelsea wamenunua Etoo,Matic,Salah,Willian na kibaya zaidi wana wachezaji vijana wengi Cesar,Matic,Oscar,Hazard,Willian,Ginkel,Schurle,Luiz plus Thibout,Lukaku na wengine kibao waliopo nje kwa mkopo