Mie namuonea huruma watu wawili Torres mpaka sasa hajafunga na wa pili Refaaaa vipi Gibbs anamfananisha na Ox Kama wachina??? Sijui atajieleza vipi asionekane mbaguzi?
kesho sijui mtaweka wapi sura zaenu.,tatizo kinachowaponza eti mnajifanya mnashambulia na nyie so nyuma kunafunguka nahisi bora mpk basi tu kama sio treni walau zinaweza kuishia hapo hapo sita
kesho sijui mtaweka wapi sura zaenu.,tatizo kinachowaponza eti mnajifanya mnashambulia na nyie so nyuma kunafunguka nahisi bora mpk basi tu kama sio treni walau zinaweza kuishia hapo hapo sita
Tukiwabugiza goli nyingi hawajamaa itakuwa full shangwe yaani 1000th match with a Big win...sipatii picha magazeti ya UK, itamake head line wiki nzima.