Tukiwabugiza goli nyingi hawajamaa itakuwa full shangwe yaani 1000th match with a Big win...sipatii picha magazeti ya UK, itamake head line wiki nzima.
Tukiwabugiza goli nyingi hawajamaa itakuwa full shangwe yaani 1000th match with a Big win...sipatii picha magazeti ya UK, itamake head line wiki nzima.
Kabisa kabisa, sio UK tu hata Asia, America na Africa, wengi wanategemea Chelski kutufunga, sasa tukiwapa makonzi ya kutosha kwao mbona PE itanukia mkuu...
Hili jukwaa limevamiwa na waota ndoto za mchanaaa....!!! Kweli bangi mbaya....arse8 mna mchezaji gani mwenye uwezo wa kumfunga Chelsea? Mbona mwajitafutia maumivu tu jioni ilhali mwajua hamna uwezo huo na expert wenu in failure!!!!
Jamaa mmoja alikuwa amekaa kiti cha mbele kabisa hapa tunapoangalizia mpira kavaa jezi nyekundu imeandikwa fly emirates naona anatoka nje kainamisha kichwa.nadhani kajua leo kuna tano hapa.