Hahahaha UTD hamna cha kutucheka msimu huu na mnaweza kuwa katika hii coma msimu ujao vile vile. Kumbuka Olympiacos wanakuja kuwasha moto Olf Trafford next week. Ebana umesikia the Glazers wanavyoanza kuuza vipande vipande? 10% ya UTD imeshauzwa, muda si mrefu UTD itageuka kama ule mchezo wa mzee Jangala na mzee Kagunga