Wakuu mupo???,gemu na Everton yaendelea ni dakika ya 25 tushachapwa goli moja lililofungwa na Leon Osman dakika ya 13..Gallas anakosa goli pale....daaaaaaaaaaaah
Tehe tehe huenda Steven Pienaar ndo atawafanyia hivyo hivyo ufaransa baadae mwaka huu. Arsenal poleni hii kitu hairudi tena. Zaidi zaidi mnaweza kupigwa 3.
Tehe tehe huenda Steven Pienaar ndo atawafanyia hivyo hivyo ufaransa baadae mwaka huu. Arsenal poleni hii kitu hairudi tena. Zaidi zaidi mnaweza kupigwa 3.