Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu mupo???,gemu na Everton yaendelea ni dakika ya 25 tushachapwa goli moja lililofungwa na Leon Osman dakika ya 13..Gallas anakosa goli pale....daaaaaaaaaaaah
 
Eduardo goooooooooooooooooooooooooal,dakika ya 29 Eduardo anatupatia goli la kusawazisha,safi sana
 
Half time sasa Arsenal 1 Everton 1..Pengo la Fabregas na Song linaonekana dhahiri
 
Forwards zetu nyepesi, Eduardo ameingia Vela, Wenger ameishiwa na ideas.
 
Wakuu hongereni naona mnacheza kwenye snow kama warusi!!! everton wameshachoka
 
mwaka wa kufa kwa nyani, kila siku tunalia na consistency tumefanya vizuri mechi 5 leo tumerudi na kale kaugonjwa
 
Oooh no..Pienaar katufunga vibaya sana..Ersenal 1 Everton 2
 
Denilson huyooo atoka na machela...Isije ikawa Bundi ndo aanza kufanya vitu vyake aisee
 
kweli msimu huu ni wa shetani naona mnapoteza wachezaji kiajabu-ajabu!
 
Tehe tehe huenda Steven Pienaar ndo atawafanyia hivyo hivyo ufaransa baadae mwaka huu. Arsenal poleni hii kitu hairudi tena. Zaidi zaidi mnaweza kupigwa 3.

bila shaka umekula maneno yako mkuu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…