Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,824
Eduardo goooooooooooooooooooooooooal,dakika ya 29 Eduardo anatupatia goli la kusawazisha,safi sana
Naona mumo tu wakuu...kila la heri.
maajabu yametokea hapa..
Tehe tehe huenda Steven Pienaar ndo atawafanyia hivyo hivyo ufaransa baadae mwaka huu. Arsenal poleni hii kitu hairudi tena. Zaidi zaidi mnaweza kupigwa 3.