Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,519
- 7,287
Angalia vizuri kumbukumbu zako mkuuRobo mkuu sio nusu
Angalia vizuri kumbukumbu zako mkuuRobo mkuu sio nusu
Wivu mbaya sana..OK tunakuja sasa kwenye ligi, nafasi yetu tuliyoizoea mtatupisha soonUnasemaje arseloser?
Wivu mbaya sana..OK tunakuja sasa kwenye ligi, nafasi yetu tuliyoizoea mtatupisha soon
Yah He is recovering by now...so tumpe muda zaid wa kuchezaalikuwa mzembe kiasi kile..
Kuna kitu kinaitwa "Fatigue" unakijua? Ndo hicho alikuwa nacho. katumika sana, so alivyopata relax kajaa now na mtakoma.Nilikuambia hapo nyuma Kua Ozil mzembe na anatakiwa kukaa benchi ukakataa! Umeona sasa kawekwa bench kidogo na kufanya mazoezi kidogo ameanza kubadilika!
Mashabiki tulikuwa nao tangu kitambo, hizo Point 4 hazitupi taabu kuzipata mkuu, na kwa taarifa tunachukua pt 3 kwenu SB...Omba uzima uzimie hiyo siku.Point 4 unafikiri mchezo? Hizo ndoto Mkuu! Ata Ndg yng Ng'wamapalala hawezi kuota namna Hiyo Zaidi atajivunia Kua na mashabiki wengi mpk china!
Kuna kitu kinaitwa "Fatigue" unakijua? Ndo hicho alikuwa nacho. katumika sana, so alivyopata relax kajaa now na mtakoma.
Mashabiki tulikuwa nao tangu kitambo, hizo Point 4 hazitupi taabu kuzipata mkuu, na kwa taarifa tunachukua pt 3 kwenu SB...Omba uzima uzimie hiyo siku.
Nyinyi mna matumaini gani mkuu?Nilishawaambia FA ndio mna matumaini ongezeni nguvu huko
Sasa tutakutana na nani semi final?
Nyinyi mna matumaini gani mkuu?
Teh Teh Teh!
Loser!!!