ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 5,528
- 7,923
Kadi haitolewi tu kwa kumwangusha mtu na kumkandamiza chini matusi pia utakayotoa baada ya kukandamizwa chini yanakusababishia kadi.
dakika ya 34 stephen gerrald anamwangusha mathieu flamini na kumgandamiza kichwa chini lakini ni flamini anaepewa kadi ya njano!