Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kadi haitolewi tu kwa kumwangusha mtu na kumkandamiza chini matusi pia utakayotoa baada ya kukandamizwa chini yanakusababishia kadi.
dakika ya 34 stephen gerrald anamwangusha mathieu flamini na kumgandamiza kichwa chini lakini ni flamini anaepewa kadi ya njano!
 
Kadi haitolewi tu kwa kumwangusha mtu na kumkandamiza chini matusi pia utakayotoa baada ya kukandamizwa chini yanakusababishia kadi.

Liverpool na Gerrald wanafahamu ujio wa Flamini leo.

Na
 
Half Time Arsenal 1 Liverpool 0

Tipate chai ya mkandaa kwanza.
 
Hawa Arsenal mbona hawajiamini jamani,wameshinda lakini bado waoga.

"Nlikuwepo":bolt:
 
Kwa nini Webb hakumpa Njano Sterling? Mchezaji hatakiwi kumgusa refa kihasirahasira kama vile. Apewe njano makali yake yakatwe lol.
 
Sasa kama Wenger ni failure na sisi wana Arsenal tumeridhika ni kipi kinawauma wewe na Mourinho?.....

Mnachekesha sana nyie watu....Wenye timu wametulia, hawaumii na failure ya AW...Lakini #Mburukenge kinawauma....

#Hayawahusu ....

#YaNgoswe .......

Kamuulize Arsene Wenger (PhD in Failureology) kinamuuma nini baadhi ya timu kuogopa kushindwa?

Mkuki kwa nguruwe arifu eh? Si nyiye mnajaza thread ya #ManUnited kwa kutuita mid table club, oh, mara DM hawafai na ----- mwingineo. Sasa ukiwa na nyumba ya vioo, husipende kurusha mawe kwa majirani zako.
 
last year fa final is returned in 6th stage in this year..
city v wigan
 
Kamuulize Arsene Wenger (PhD in Failureology) kinamuuma nini baadhi ya timu kuogopa kushindwa?

Mkuki kwa nguruwe arifu eh? Si nyiye mnajaza thread ya #ManUnited kwa kutuita mid table club, oh, mara DM hawafai na ----- mwingineo. Sasa ukiwa na nyumba ya vioo, husipende kurusha mawe kwa majirani zako.
#YaNgoswe ......
 
Nzi
Jose hatokwenda mbali utakuja niambia
Jose unakwenda kwa upepo Madrid alipoona mbinu zake zimekwisha alikimbia na hapo UK siku sio nyingi utamsikia atakavyoanza kusema
Kamuulize Arsene Wenger (PhD in Failureology) kinamuuma nini baadhi ya timu kuogopa kushindwa?

Mkuki kwa nguruwe arifu eh? Si nyiye mnajaza thread ya #ManUnited kwa kutuita mid table club, oh, mara DM hawafai na ----- mwingineo. Sasa ukiwa na nyumba ya vioo, husipende kurusha mawe kwa majirani zako.
 
Kipindi cha kwanza Arsenal walianza vizuri kwa kujaribu kutokubali kufungwa goli na baada ya dakika 20 Arsenal wakaanza kuongeza kasi ya mashambulizi ambayo yalizaa goli dakika ya 16 ambalo lilifungwa na Chamberlain.

Yaya Sanogo bado hajazoea mikikimikiki ya ligi hii na ndio anaanza kuelewa ugumu wake.

Mesut ozil nae leo ameingeza gesi baada ya kupiga zoezi sana gym.

Kipindi cha pili ndio mwamuzi na tuone.
 
Podolskiiiiiiiiiiiiiiiiii

Yaya Sanogo alikuwa upande wa kulia na kudondosha mipra kwa Alex Oxdale Chamberlain ambae aligongeana mpira na Mesut Ozil kabla ya Chamberlain kumtupia cross Lucas Podolski ambae aliukuta mpira huo na kuum=kwamisha kimiani.

Arsenal 2-0 up
 
Back
Top Bottom