Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

tuna kikosi kizuri sana kinachoweza kucheza na timu yoyote na kikatoa ushindani mkali.

Kweli. Mnaweza kutoa ushindani. Lakini hilo haliwazuii kupokea kipigo toka kwa watabe wa Bavaria.

Nimeshawaambia humu kwamba, Arsenal ikishinda UCL, naacha kushabikia Man United.
 
Arifu, Wenger ndiye kalianzisha, huku akifahamu Maureen ana mdomo wenye maneno ya shombo!

Unaambiwa ukiwa na nyumba yenye vioo, husipende kurusha mawe kwa majirani zako.



Kwi Kwi Kwi Kwi Kwi!

Mou nouma!
 
Nani kakuambia tunatolewa UCL...?? Bado tunanafasi...

Hakuna sehemu niliyosema kuwa definately tutatolewa nimemaanisha kumtoa Bayern ni vigumu. Sijui kama kiswahili ni lugha yako ya 10 au ya kwanza. Nakubali bado tuna nafasi lakini pia tukubali tofauti ya uwezo uliopo kati ya Arsenal na Bayern
 
Symptom



Answer Y/N


Have Liverpool scored four early goals?

No

Are Arsenal winning?

Yes

Is Arsene Wenger noticeably having a nervous breakdown?

No

What about Per Mertesacker, is he having one?

No

Any injuries?

No

Has Arsene Wenger fallen over?

No

Have Arsenal's defenders been "given the run-around?"

Somewhat

Recommendation
Check back in 10 min time
 
...sasa ni nusu uwanja wenger kapaki basi mapema!!! Dakika ya 25!
 
Mechi Kama Hizi Ni Kama Mazoez Kwa Liver Sisi Tumeweka Kipaumbele Kwenye Ligi. Tunawaachia Na Nyie Kidogo Mfurah
 
Arsenal wamejitahidi kuwazuia Liverpool kucheza watakavyo -kwa kasi.

Na pia Arsenal katika dakika 15 zilizopita wameweza kuwadhibiti Liverpool.
 
Kweli. Mnaweza kutoa ushindani. Lakini hilo haliwazuii kupokea kipigo toka kwa watabe wa Bavaria.

Nimeshawaambia humu kwamba, Arsenal ikishinda UCL, naacha kushabikia Man United.

H ahahahaaah...!!! Haya mkuu. Nadhani umeshatoa mkosi kwa timu yetu tayari, UCL tutaisikia tu kwenye bomba.
 
Kwa list ya leo sitarajii ushindi... tukipata draw inaweza kuwa vizuri ingawaje itatuongezea wingi wa mechi. Kumtoa Bayern ni ndoto ya kutembea juu ya bahari. Kama tutaoa draw afu tucheze na Liver kwao baada ya kuondolewa UCL itakuwa poa tu.

Hakuna sehemu niliyosema kuwa definately tutatolewa nimemaanisha kumtoa Bayern ni vigumu. Sijui kama kiswahili ni lugha yako ya 10 au ya kwanza. Nakubali bado tuna nafasi lakini pia tukubali tofauti ya uwezo uliopo kati ya Arsenal na Bayern

Haya ngoja nitafute mwalimu wa kiswahili......
 
Dakika ya 34 Stephen Gerrald anamwangusha Mathieu Flamini na kumgandamiza kichwa chini lakini ni Flamini anaepewa kadi ya njano!
 
Nafasi ya 7 katika EPL. FA na LC sipo.

Lakini hilo haliondoi ukweli kwamba Arsene Wenger ni specialist in failure. To put it more clearer, Wenger is a Professsor of Failureology.

Wanna more credentials on Wenger's specialisation? Just visit Nobel Prize's website, as Wenger is amongst the shortlisted candidates for next year's prize.
Sasa kama Wenger ni failure na sisi wana Arsenal tumeridhika ni kipi kinawauma wewe na Mourinho?.....

Mnachekesha sana nyie watu....Wenye timu wametulia, hawaumii na failure ya AW...Lakini #Mburukenge kinawauma....

#Hayawahusu ....

#YaNgoswe .......
 
Back
Top Bottom