Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Dakika ya 15
Arsenal 0-0 Fulham
Arsenal 0-0 Fulham
Dakika ya 20
Arsenal 0-0 Fulham
Mmmh! Ila hao hadi dk 90, maana wagumu kuachia pointi hawa siku hizi.man City keshapigwa kidude..
man city ngumu sana kuachia pointi.kule city of manchester 1 - 1 cardiff wamechoa. Hapa emirate still 0-0.
Hapa kweli pagumu...Milango bado kufunguka hapa!