Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Monreal anatoka Gibbs anachukua nafasi yake safi sana dogo alikuwa kaumia ngoja apate uzoefu ..... . ... ... .... ... .


BTW nasikia kuna jamaa wame-log off khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee
 
Arsenal inabidi waongeze tempo na wafunge magoli mengine mawili kumaliza hii game naona Astona Villa wanaweza kuleta matatizo.

Wakifunga sawa lakini hawana nafasi ya kushindana kwa magoli na Mancs and Chelsick wanacheza kumiliki ushindi wa point 3 ..... ..... ..... wingi wa magoli wameachiwa Champions elect na media .... .. ...


BTW umeona move hiyo Giroud anakosa bao ... ....
 
Wakifunga sawa lakini hawana nafasi ya kushindana kwa magoli na Mancs and Chelsick wanacheza kumiliki ushindi wa point 3 ..... ..... ..... wingi wa magoli wameachiwa Champions elect na media .... .. ...

Ngapi ngapi??
 
Arsenal sasa wanacheza kwa uangalifu mkubwa huku wakijaribu kutafuta nafasi za hapa na pale na ndipo kunakosekana huduma ya Theo Walcott maana angasaidia kuwachosha hawa jamaa.

Andreas Weimann anaingia badala ya El Mahdi na zimebakia dakika 15 mpira uishe.
 
Carzola anapoteza mpira Benteke anafunga goli 1 - 2 ...... ..... ... 15 minutes to go ..... ..... ..
 
Thomas Rosicky anaangushwa ndani ya eneo la Arsenal na Aston Villa wanaendelea kuucheza mpira.

Hatmae mwamuzi anasimamisha mchezo.
 
Wenger angemtoa tu Santiago Cazorla na Podolski aingie.

Kila mtu sasa anataka Astion Villa warudishe magoli, kazi kwelikweli!
 
.......#KeepTheFaith ,......

Mburukenge eti wanadai usingizi mgumu kwa joto na mbu,
khekhekheee....leo mtakesha mbonaaa?
kuleni panadol!
 
Back
Top Bottom