Dah....
Chifu mbona hiyo Video haiendani na hiyo picha ya 'photo shop' uliyoiweka?....
Gotcha.......Chifu, kwa heshima ya uanamichezo na jukwaa letu pendwa, naomba hii ligi husiiendeleze........
Ila Giroud ni kweli alifotoa kwenye gazeti la gays pale France.........
Mimi nitadeal na Wacha1 makelele.......
Liverpool Mdebwedo....
Ni vigumu sana ku-maintain kiwango cha timu hasa December kwenye EPL,kumbuka timu zinacheza game 3 ndani ya siku 7.Wachezaji wanachoka sana angalia Ramsey,Ozil,Giroud walivyochoka
Tema mate chini arifu....mbona unasema uongo mchana kweupe? Kuna yule mtu anaitwa BAK yeye uwa na kisingizio eti ana wageni nyumbani..... Wacha1 makelele yeye ndo hata humwoni.....wengine eti ujifanya walikuwa wanafuatilia gemu....siku ile ya kipigo pale OT, palikuwa na ukiwa sana humu.....siku ile ya goli 6 ndio usiseme.......wewe mwenyewe siku moja ulitoa kisingizio eti ulikuwa busy, na akina siye tusio na kazi, tukawa tumeshinda humu gonuni.........
Naona kuwepo kileleni kumekuchanganya hadi unasahau huyo mdudu Mbu naye ni goons!!!
Chifu, kwa heshima ya uanamichezo na jukwaa letu pendwa, naomba hii ligi husiiendeleze........
Ila Giroud ni kweli alifotoa kwenye gazeti la gays pale France.........
Mimi nitadeal na Wacha1 makelele.......
Tema mate chini arifu....mbona unasema uongo mchana kweupe? Kuna yule mtu anaitwa BAK yeye uwa na kisingizio eti ana wageni nyumbani..... Wacha1 makelele yeye ndo hata humwoni.....wengine eti ujifanya walikuwa wanafuatilia gemu....siku ile ya kipigo pale OT, palikuwa na ukiwa sana humu.....siku ile ya goli 6 ndio usiseme.......wewe mwenyewe siku moja ulitoa kisingizio eti ulikuwa busy, na akina siye tusio na kazi, tukawa tumeshinda humu gonuni.........
Naona kuwepo kileleni kumekuchanganya hadi unasahau huyo mdudu Mbu naye ni goons!!!
Nao walikuwa wanatupumulia!!!!Liverpool Mdebwedo....
Leta ushahidi na mimi nitaleta ushahidi usikimbie tu wala usilete photo shop pics .... .... ... Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeee
Wacha uongo Rambo kaumia, Ozil kaumia, Giroud kacheza leo pamoja na kupigwa viatu kila KONA ... ..
Next time nitakununulia miwani then Jiandae mwaka mpya nitapita hapo east cost kukuchukua kwenye ungo twende Emirates maana naona una usongo sana ...... ....... ....... ....
Leta ushahidi na mimi nitaleta ushahidi usikimbie tu wala usilete photo shop pics .... .... ... Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee eeee
BTW hebu msikilize Elvis hapa labda utapata akili kidogo naona umechanganyikiwa .... ... ...
Watch OUT carefully with your records,,,,,Thanks Gunner.
Samahani kwa wale ambao maombi yao leo hayakujibiwa na shetani!
We are still marching on. Two point above second placed team ambayo imetumia Pound milioni 103 msimu huu achilia mbali pound milioni 500 ilizowahi kutumia tokea sheikh Mansour kuwasili kwenye viwanja vya Man City.
Kazi yetu tumeimaliza kwa leo na kwa sasa ni muda wa kukaa and unwind a day peaceful.
Tukutane tena kwenye mitaa ya Drayton Park mida ya 15:00 GMT, tarehe ya kwanza ya mwaka 2014 kwenye viwanja vyetu vya kujidai kuendelea kutoa doze kwa Cardiff City.
Ninatumaini tutauanza mwaka mpya kwa kuongeza point tatu kwenye kapu letu.
Tuwaachie janvi wataalamu wa keyboard/keypad ambao wamejipachika utalaamu wa mpira waendelee kudadavua.
Once a Gunner, Always a Gunner.
Mkuu, this is football!.Watch OUT carefully with your records,,,,,
Siku za mechi unasingizia boksi,mechi ikiisha tu unaonekana
Teheeheeteheee...naanza kupata hofu na huyu shabiki Mbu
Kumbe unaleta umbeya linganisha na hizi yupi ni shoga?
Timu ya mashoga ... ... khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Duuuh! Kumbe kuna uhalisia yaani watu na ndevu zao Wanapumuliwa Kisogoni!!??
Hii hatari saana aiseee.