Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tunahitaji kusajili striker January...Giroud hana makali ya kutosha sasa...
 
Hii game ya Liver na Chelsea ni bora iishe kwa sare.....Itakuwa nafuu kwetu
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
.....#WatazoeaTu .
Together We Stand, game ya leo nimeiangalia kimachale kweli...,

Haya, angalau tupumue huku tukieastaajabia Liverpool na Chelski wakiuana.
Ukweli ni kwamba hakuna mashabiki ambao huwa wanaangalia game kwa raha kama wa Arsenal...Ndio maana utaona siku Arsenal ikicheza mashabiki wake tunakuwemo humu kwa muda wote, tuwe tumeshinda, tumeshindwa ama tutoke sare....

Na Chifu wangu Nzi hana tofauti na mashabiki wa Arsenal, timu ikicheza muda wote upo jukwaani...Tofauti na wenzake wengi na wale wa darajani...

Sisi mashabiki wa Arsenal #TulishazoeaKitambo mkuu....Kazi na kwaoMan Utd ambao si kawaida kula Krismas ama Mwaka mpya mkiwa ndani ya 6.....Lakini #WatazoeaTu chifu...

Naona Chelsea wanaongoza kwa goli 2 sasa...
 
.....#WatazoeaTu .
Together We Stand, game ya leo nimeiangalia kimachale kweli...,

Haya, angalau tupumue huku tukieastaajabia Liverpool na Chelski wakiuana.

Siku za mechi unasingizia boksi,mechi ikiisha tu unaonekana
 
Ukweli ni kwamba hakuna mashabiki ambao huwa wanaangalia game kwa raha kama wa Arsenal...Ndio maana utaona siku Arsenal ikicheza mashabiki wake tunakuwemo humu kwa muda wote, tuwe tumeshinda, tumeshindwa ama tutoke sare....

Na wewe Chifu hauna tofauti na mashabiki wa Arsenal, timu ikicheza muda wote upo jukwaani...Tofauti na wenzako wengi na wale wa darajani...

Sisi mashabiki wa Arsena #TulishazoeaKitambo mkuu....Kazi na kwenu nyie Man Utd ambao si kawaida kula Krismas ama Mwaka mpya mkiwa ndani ya 6.....Lakini #MtazoeaTu chifu...

Naona Chelsea wanaongoza kwa goli 2 sasa...

teh teh teh bala weee..
 
Ukweli ni kwamba hakuna mashabiki ambao huwa wanaangalia game kwa raha kama wa Arsenal...Ndio maana utaona siku Arsenal ikicheza mashabiki wake tunakuwemo humu kwa muda wote, tuwe tumeshinda, tumeshindwa ama tutoke sare....

Tema mate chini arifu....mbona unasema uongo mchana kweupe? Kuna yule mtu anaitwa BAK yeye uwa na kisingizio eti ana wageni nyumbani..... Wacha1 makelele yeye ndo hata humwoni.....wengine eti ujifanya walikuwa wanafuatilia gemu....siku ile ya kipigo pale OT, palikuwa na ukiwa sana humu.....siku ile ya goli 6 ndio usiseme.......wewe mwenyewe siku moja ulitoa kisingizio eti ulikuwa busy, na akina siye tusio na kazi, tukawa tumeshinda humu gonuni.........

Na wewe Chifu hauna tofauti na mashabiki wa Arsenal, timu ikicheza muda wote upo jukwaani...Tofauti na wenzako wengi na wale wa darajani...

Sisi mashabiki wa Arsena #TulishazoeaKitambo mkuu....Kazi na kwenu nyie Man Utd ambao si kawaida kula Krismas ama Mwaka mpya mkiwa ndani ya 6.....Lakini #MtazoeaTu chifu...

Naona kuwepo kileleni kumekuchanganya hadi unasahau huyo mdudu Mbu naye ni goons!!!
 
Last edited by a moderator:
Njooni muone ninavyo ninavyo mkamua Liverpool! Yani yuko hoi!
 
Tema mate chini arifu....mbona unasema uongo mchana kweupe? Kuna yule mtu anaitwa BAK yeye uwa na kisingizio eti ana wageni nyumbani..... Wacha1 makelele yeye ndo hata humwoni.....wengine eti ujifanya walikuwa wanafuatilia gemu....siku ile ya kipigo pale OT, palikuwa na ukiwa sana humu.....siku ile ya goli 6 ndio usiseme.......wewe mwenyewe siku moja ulitoa kisingizio eti ulikuwa busy, na akina siye tusio na kazi, tukawa tumeshinda humu gonuni.........



Naona kuwepo kileleni kumekuchanganya hadi unasahau huyo mdudu Mbu naye ni goons!!!
Hahaaaaaaaa......

My bad Chifu....Ukweli ni kwamba majina yenu yanachanganya na nilijua nakuquote wewe kumbe ni Mbu bana.....

Noted............And edited....
 
Hahaaaaaaaa......

My bad Chifu....Ukweli ni kwamba majina yenu yanachanganya na nilijua nakuquote wewe kumbe ni Mbu bana.....

Noted............And edited....

Kwa heshima yako....naidelete ile post ya Giroud.....

Ila huyu Wacha1 makelele nitadeal naye......
 
Last edited by a moderator:
Mashoga yaliyojaa goons??? Cheki hili mojawapo, hadi likapozi kwenye gazeti la mashoga pale Ufaransa.....



Cheki hapa hilo shoga la Arsenal likimbusu Debuchy.......

Olivier Giroud embrasse Mathieu Debuchy après son but contre l'Allemagne 20120229 - YouTube

Wewe Wacha1 makelele, umezoea sana ushoga, naona kila neno, neno ushoga lazime ulitaje......kumbe ndiyo tabia pale goons........
Dah....

Chifu mbona hiyo Video haiendani na hiyo picha ya 'photo shop' uliyoiweka?....
 
Back
Top Bottom