Belo JF-Expert Member Joined Jun 11, 2007 Posts 12,913 Reaction score 10,263 Dec 29, 2013 #30,361 Wandugu Masanja said: sipendi kuweka dosari lakini kwa mchezo wa ref wanaochezesha gemu za Arsenal itachukuwa muda mrefu kwa Arsenal kuchukuwa ubingwa Click to expand... Usitafute kisingizio cheza mpira ushinde,kwa hiyo hamjachukua ubingwa miaka 8 kwa sababu ya marefa?
Wandugu Masanja said: sipendi kuweka dosari lakini kwa mchezo wa ref wanaochezesha gemu za Arsenal itachukuwa muda mrefu kwa Arsenal kuchukuwa ubingwa Click to expand... Usitafute kisingizio cheza mpira ushinde,kwa hiyo hamjachukua ubingwa miaka 8 kwa sababu ya marefa?
W Wandugu Masanja JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 1,584 Reaction score 553 Dec 29, 2013 #30,362 Nilisema mwanzo sipendi kutowa dosari Mpira tunacheza ndio tukakuona humu hutoki kuangalia maendeleo ya Arsenal vyenginevyo ungelikwenda kwenye jukwaa la Cardiff (kama lipo) Belo said: Usitafute kisingizio cheza mpira ushinde,kwa hiyo hamjachukua ubingwa miaka 8 kwa sababu ya marefa? Click to expand...
Nilisema mwanzo sipendi kutowa dosari Mpira tunacheza ndio tukakuona humu hutoki kuangalia maendeleo ya Arsenal vyenginevyo ungelikwenda kwenye jukwaa la Cardiff (kama lipo) Belo said: Usitafute kisingizio cheza mpira ushinde,kwa hiyo hamjachukua ubingwa miaka 8 kwa sababu ya marefa? Click to expand...
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,920 Dec 29, 2013 #30,363 Sizinga said: #Harers #Mamburukenge wanachungulia tu Click to expand... wanasubiri tufungwe ndio wataibuka.
Sizinga said: #Harers #Mamburukenge wanachungulia tu Click to expand... wanasubiri tufungwe ndio wataibuka.
Wacha1 JF-Expert Member Joined Dec 21, 2009 Posts 16,676 Reaction score 8,246 Dec 29, 2013 #30,364 Prof atabadili mambo kipindi cha pili, NC nguvu yao itaisha .... .... link kati ya midfielder na forward bado kuelewana .... ....
Prof atabadili mambo kipindi cha pili, NC nguvu yao itaisha .... .... link kati ya midfielder na forward bado kuelewana .... ....
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,920 Dec 29, 2013 #30,365 Belo said: Mwambie huyo ndugu yako aache kuropoka,kuongoza ligi ndio anajiita timu kubwa Click to expand... Acha zako bhana kwani arsenal timu ndogo?
Belo said: Mwambie huyo ndugu yako aache kuropoka,kuongoza ligi ndio anajiita timu kubwa Click to expand... Acha zako bhana kwani arsenal timu ndogo?
Complicator JF-Expert Member Joined Aug 23, 2013 Posts 2,207 Reaction score 3,604 Dec 29, 2013 #30,366 dah leo ndo utaeza jua ni kiasi gani creativity ya ozil inamic pale mbele..zinapgwa pasi ambazo hazina madhara kabisa
dah leo ndo utaeza jua ni kiasi gani creativity ya ozil inamic pale mbele..zinapgwa pasi ambazo hazina madhara kabisa
Rejao JF-Expert Member Joined May 4, 2010 Posts 9,219 Reaction score 4,085 Dec 29, 2013 #30,367 Wacha1 said: Prof atabadili mambo kipindi cha pili, NC nguvu yao itaisha .... .... link kati ya midfielder na forward bado kuelewana .... .... Click to expand... Hamna creativity, midfielders hawaelewani kabisa
Wacha1 said: Prof atabadili mambo kipindi cha pili, NC nguvu yao itaisha .... .... link kati ya midfielder na forward bado kuelewana .... .... Click to expand... Hamna creativity, midfielders hawaelewani kabisa
Richard Platinum Member Joined Oct 23, 2006 Posts 16,667 Reaction score 25,701 Dec 29, 2013 #30,368 Hii game lazima tupige mtu 1-0.
W Wandugu Masanja JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 1,584 Reaction score 553 Dec 29, 2013 #30,369 gemu ni ngumu hatuna creative pass kule mbele
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,920 Dec 29, 2013 #30,370 Pale katikati sijui vipi?
Sizinga Platinum Member Joined Oct 30, 2007 Posts 9,520 Reaction score 7,292 Dec 29, 2013 #30,371 Huu mpambano tunashiinda kabisa ila sioni dalili
Richard Platinum Member Joined Oct 23, 2006 Posts 16,667 Reaction score 25,701 Dec 29, 2013 #30,372 Girouuuuuuuuuuuuud
Wacha1 JF-Expert Member Joined Dec 21, 2009 Posts 16,676 Reaction score 8,246 Dec 29, 2013 #30,373 Giroud 1 up ... .. Prof knows ..... .... ..... .safi sana ... ...COYG
Richard Platinum Member Joined Oct 23, 2006 Posts 16,667 Reaction score 25,701 Dec 29, 2013 #30,374 Sasa mpira unaanza rasmi maana Newcastle walikuwa wanataka sare.
Sizinga Platinum Member Joined Oct 30, 2007 Posts 9,520 Reaction score 7,292 Dec 29, 2013 #30,375 Giroud kawakilisha
Rejao JF-Expert Member Joined May 4, 2010 Posts 9,219 Reaction score 4,085 Dec 29, 2013 #30,376 Wacha1 said: Giroud 1 up ... .. Prof knows ..... .... ..... .safi sana ... ...COYG Click to expand... Bora...hapa sasa Artera aingie kusaidiana na Flamin
Wacha1 said: Giroud 1 up ... .. Prof knows ..... .... ..... .safi sana ... ...COYG Click to expand... Bora...hapa sasa Artera aingie kusaidiana na Flamin
Richard Platinum Member Joined Oct 23, 2006 Posts 16,667 Reaction score 25,701 Dec 29, 2013 #30,377 Giroud anakosa goli la wazi la pili. Arteta anaingia badala la Gibbs ambae ameumia. Falmini anaenda kushoto.
Giroud anakosa goli la wazi la pili. Arteta anaingia badala la Gibbs ambae ameumia. Falmini anaenda kushoto.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,920 Dec 29, 2013 #30,378 What a miss....!
Belo JF-Expert Member Joined Jun 11, 2007 Posts 12,913 Reaction score 10,263 Dec 29, 2013 #30,379 Rejao said: Bora...hapa sasa Artera aingie kusaidiana na Flamin Click to expand... Arteta wa nini ,ingiza Poldi amalize game
Rejao said: Bora...hapa sasa Artera aingie kusaidiana na Flamin Click to expand... Arteta wa nini ,ingiza Poldi amalize game
Wacha1 JF-Expert Member Joined Dec 21, 2009 Posts 16,676 Reaction score 8,246 Dec 29, 2013 #30,380 Gibbs out Arteta in .... ... ... .