BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Sasa tunaanza mkakati wa kuchukua 3 points zetu...enjoy.
Subiri kipindi cha pili uanze kuhesabu magoli ya Arsenal
Subiri kipindi cha pili uanze kuhesabu magoli ya Arsenal
Hii gemu yetu kabisa. Sema huku mbele naona kama hamna co ordination nzuri.Pamoja na refa kuwabeba hawa wetu tu leo.
Tumepoteza points 2 za muhimu sana. Kwa mara ya kwanza naanza kumwona Giroud siyo striker anayetufaa kama tunataka kweli kuwa MabinhwaSasa tunaanza mkakati wa kuchukua 3 points zetu...enjoy.
Tumepoteza points 2 za muhimu sana. Kwa mara ya kwanza naanza kumwona Giroud siyo striker anayetufaa kama tunataka kweli kuwa Mabinhwa
Tumepoteza points 2 za muhimu sana. Kwa mara ya kwanza naanza kumwona Giroud siyo striker anayetufaa kama tunataka kweli kuwa Mabinhwa
Tulistahili kabisa kushinda ila safu ya mashambulizi leo hawakuwa makini kama nilivyotarajia.
Siku zote nlijua we ni agemate wangu. kama sijakosea, kwa umri huu wetu na timu unayoshabikia. dah TIMING
Hahahahaha....mimi kibabu bana. Napokea pensheni baada ya kila miezi sita pale hazina. Hawa vijana wangu naona wananza kunitia presha. Wameanza vizuri msimu lakini hapa kati kati naona wanaanza kulegea.