Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Na Chelsea Mkuu Richard sare ndio wanayoitaka wanajua muziki wa Arsenal hivyo kutoa sare kwao ni kama wamekusanya 3 points.

Hakuna Cha droo lazima arsenal apigwe
 
Last edited by a moderator:
Bt hii game atakyepata goal la kwanza atakuwa mshiindi...hii mechi haina magoli mengi
 
Mara ya Mwisho kumpiga Chelsick ni 2011...RVP akipiga Hart Trick....Je leo itakuwaje?
 
Na watu wasipoangalia Mike Dean atatoa kadi nyekundu muda si mrefu.
 
Matokeo ni fair na tunazidiwa idadi ya magoli na Liverpool. Ni mechi ambayo kila mmoja hakutaka kuipoteza.

Sio mbaya.
 
Tulistahili kabisa kushinda ila safu ya mashambulizi leo hawakuwa makini kama nilivyotarajia.

Tumepoteza points 2 za muhimu sana. Kwa mara ya kwanza naanza kumwona Giroud siyo striker anayetufaa kama tunataka kweli kuwa Mabinhwa
 
Aya niliwambia lazima mporomoke!

Sasa mko nafasi ya pili
 
Tumepoteza points 2 za muhimu sana. Kwa mara ya kwanza naanza kumwona Giroud siyo striker anayetufaa kama tunataka kweli kuwa Mabinhwa

Mkuu Dick Law na Ivan Gazidis wamekwishaagizwa wapi hundi ziende mwezi ujao kwahio tusubiri. Olivier Giroud sio mshambuliaji mzuri na leo amekosa magoli mawili ya wazi kabisa.

Anazungumzwa Morata wa Real Madrid na Diego Costa wa Athletico Madrid ambae ni mpaka mwezi Julai. Morata anaweza kuja kwa mkopo.
 
Tulistahili kabisa kushinda ila safu ya mashambulizi leo hawakuwa makini kama nilivyotarajia.

Siku zote nlijua we ni agemate wangu. kama sijakosea, kwa umri huu wetu na timu unayoshabikia. dah TIMING
 
Last edited by a moderator:
Tulistahili kabisa kushinda ila safu ya mashambulizi leo hawakuwa makini kama nilivyotarajia.

......Frustrating night Plus some very poor Ref Decisions. Mourinho katumia tactics zile zile alizotumia Old Trafford #Safety1st .

Fingers Crossed labda January Wenger ataona umuhimu wa kusajili Striker Mwingine,
Otherwise....nyimbo ya "New Signings" kina Podolski na Sanogo sidhani kama zitatosha kuendeleza
kina Ramsey et al walipojitahidi kutufikisha...

***ONCE A GUNNER ALWAYS A GUNNER, TOGETHER WE STAND***
COYG!!!
 
Tumepoteza points 2 za muhimu sana. Kwa mara ya kwanza naanza kumwona Giroud siyo striker anayetufaa kama tunataka kweli kuwa Mabinhwa

Mkuu Rejao una umri gani kwa makumi?

cc: TIMING tuhamishe meza mkongwe mwenzangu.
 
Last edited by a moderator:
Mhhhhh!!!! Mie sijafika age ya kuitwa babu jina ambalo mara nyingi wewe hupenda kulitumia 🙂🙂 timu hii bomba sana hiki kipindi kifupi cha usajili tukiweza kupata wachezaji watatu/wanne basi tutamaliza msimu huu vizuri sana kama tulivyouanza.

Siku zote nlijua we ni agemate wangu. kama sijakosea, kwa umri huu wetu na timu unayoshabikia. dah TIMING
 
Mkuu Rejao una umri gani kwa makumi?

cc: TIMING tuhamishe meza mkongwe mwenzangu.
Hahahahaha....mimi kibabu bana. Napokea pensheni baada ya kila miezi sita pale hazina. Hawa vijana wangu naona wananza kunitia presha. Wameanza vizuri msimu lakini hapa kati kati naona wanaanza kulegea.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom