Piere. Fm
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,261
- 1,253
Its Official
Arsenal first X1;
Kipa ni Szczesny, mabeki Bacary Sagna, Kieran Gibbs, Thomas Vermaelen na Per Mertesacker.
Wachezaji wa kiungo; Mikael Arteta, Aaron Ramsey, Thomas Rosicky na Mesut Ozil ambae atakuwa akicheza upande wa ndani kulia na mbele ni Olivier Giroud.
Hivyo Santi Cazorla anampisha Rosicky ambe ni more effective na anaweza kufungua vyumba kwa haraka zaidi kwenye ngime ya Chelsea.
Chelsea:
Cech, Ivanovic, Cahill, Terry, Azpilicueta, Mikel, Lampard, Ramires, Willian, Hazard, Torres.
Ni habari njema mkuu vp Theo walcolt hayupo sub.