Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Akina nani kama ni sisi wadau wa Arsenal hatuna kawaida ya kukimbia jukwaa kama wengine. Tupo hapa hata tukipigwa. Muulize Ntuzu
Nani Akimbie jukwaa Au nyie Ndo mmeshuka Kutoka darini maana nimebisha hodi nkakuta Hakuna mtu!
Jamani mnatia huruma nyie! Mmeanza Kua ndembendembe kabla ya game? Kah !!!!
Last edited by a moderator: