Wakati huohuo Robert Lewandowski ameifungia Borussia Dortmund goli la kwanza na as it stands Napoli wanatolewa.
Napoli wanatambua umuhimu wa mechi hii na wao wameanza kutandaza kabumbu.
Acha kujifariji wewe!
Man utd
Man city
Chelsea Ndo zimefuzu Kwa second leg na si nyie!
Leo sisi Tuko na kibonde na mpaka sasa tunaongoza!
Refa kawanyima penati Napoli!
Arsenal wamepoteana kabisa!
Chelsea 1
Heta...................Arsenal wamepoteana kabisa!
Chelsea 1