Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nimetoka kuangalia mechi dhidi ya Everton, morali ya Arsenal hainiridhishi kabisa, tunawaonea sana vibonde lakini tunapokutana na mitihani ya kweli tunashindwa kuonyesha uwezo wetu, sasa sijui hizi mechi mbili kati ya Chelsea na Man City kama tutachomoka. Napata wasiwasi sana isije ikawa ni nguvu ya soda. wenzangu mnaonaje?

Everton ni moja kati ya timu bora sana msimu huu, ndio timu pekee iliyopoteza mechi moja tu msimu huu... usiwe na shaka mkuu, hii ni moja ya test ngumu msimu huu. Mechi mbili kati ya Man City then Chelshit ni mtihani mwingine ambao naamini tutapata points kadhaa.
 
Huu ndio msimu wetu tushavumilia sana tusubiri kusherekea...everton ni team kubwa kuliko chelsea
 
Nimetoka kuangalia mechi dhidi ya Everton, morali ya Arsenal hainiridhishi kabisa, tunawaonea sana vibonde lakini tunapokutana na mitihani ya kweli tunashindwa kuonyesha uwezo wetu, sasa sijui hizi mechi mbili kati ya Chelsea na Man City kama tutachomoka. Napata wasiwasi sana isije ikawa ni nguvu ya soda. wenzangu mnaonaje?

Ni matokeo mazuri tu na kama tungeshinda leo tungekuwa na uhakika zaidi wa kuanza kujiandaa kama mabingwa watarajiwa.

Kama unafuatilia hasa timu yetu hii, msimu wa 2003/04 hadi kufikia mechi 15 kama leo tulikuwa na idadi ya points 35 na ni msimu ule tulikwenda kuwa mabingwa bila kupoteza hata mechi moja, yaani kushinda mechi 26 na kutoa sare mechi 12.

Ni katika msimu ule ndio tuliweza kuboresha mikataba ya Patrick Vieira na Robert Peres na pia tuliwanunua Antony Reyes na Kipa Jens Rehmnan.

Msimu wa 2007/08 tulikuwa na 37 points baada pia ya kucheza mechi 15, lakini tukavurugwa na uondokaji wa Thiery Henry, Fredie Ljumberg na Antony Reyes na msimu ule tukamaliza tukishika nafasi ya tatu.

Hizi mechi na Everton, Man City na Chelsea hata tukitoa sare haitakuwa mbaya ingawa ushindi unatuweka mahali pazuri zaidi.

Kosa moja kubwa la mzee Wenger leo lilikuwa ni upangaji wa kikosi chake. Ilitakiwa Theo Walcott aanze ili aweze kutafuta nafasi kwa Giroud au Ozil.

Yule beki wa kulia wa Everton Oviedo, alikuwa na raha sana mpaka Walcott alipoingia na kuandaa chumba kwa Ozila kufunga kwahio ilibidi Walcott aanze.

Pili, Flamini na Rosiky wangeanza badala ya Cazorla na Wilshere. Unajua mechi kubwa kama hizi tena ambazo timu kama Everton imetoka kukung'uta watu huko old Traford unatakiwa nawe ujiandae kisawasawa na kwahio Wenger angeanza na Walcott Flamini na Rosiky badala ya kuwaingiza kipindi cha pili.

Lakini tusiwe na wasiwasi ni baadhi tu ya pundits na wanaotabiri mabaya ndio wanaleta mambo ya Arsenal wana mitihani na Man City au mara wana mtihani na Chelsea, hiyo yote ni hofu kwamba Arsenal mwaka huu wamepania "to prove everyone wrong".

Watu wamesahu kuongelea jinsi Chelsea walivyofanyiwa mbaya na Stoke kule Liberty Stadium ambako Arsenal tuliwafunga haohao Stoke, au Man City ambao jana nao wakatoa sare na Southampton, hakuna mjadala huo.

Sembuse Arsenal kuwa 5 points clear leo hii.
 
Richard
Wenger lazima abadilishe kikosi kweli leo alikuwa aweke mid nzuri lakini tuna mechi Jumatano na Jumamosi lazima kuwepo mabadiliko
 
We have got 1 point na hii inasababisha gape kuongezeka na kuwa la point 5, sasa cha kushangaza ni kuwa wanaopiga kelele humu ndani ni ambao weekend hii hawajapata Point hata 1. Duuh! Teammburukenge bhana Hatari saana!!
 
Ooppss....don't go there please....otherwise you will make a mug out of yourself!!!



Sure. We are all ready for a catch up game.....

Goons have dropped 2 points today, and next are Shitty and Pensioners......

#ManUnited are ready for a catching up game

Baba mind the great canyon .. Maana not a gape anymore...

Ati ready for catch up .... Hahahahahahaha
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Everton ni moja kati ya timu bora sana msimu huu, ndio timu pekee iliyopoteza mechi moja tu msimu huu... usiwe na shaka mkuu, hii ni moja ya test ngumu msimu huu. Mechi mbili kati ya Man City then Chelshit ni mtihani mwingine ambao naamini tutapata points kadhaa.

Kweli mkuu, lakini jinsi dalili zilivyo inaonekana kabisa Arsenal tunasumbuka sana kushinda dhidi ya timu kubwa, ukiangalia jinsi tulivyoshindwa kuifunga Man U ambayo imefungwa na timu ambazo huwezi hata zania, sasa tukikutana na Chelsea ambayo tactics za kocha wake mara nyingi humshinda Mzee Wenger, Man City nayo iko vizuri msimu huu na kuna mechi na NewCastle ambao kwa kweli huwa wanatuonea sana. Nadhani ni wakati wa wenger kubadilika kidogo.

Hofu yangu kama hatutashinda mechi hizi, baada ya Christmass tutakuwa na wakati mgumu sana wa kunyakua ubingwa.
 
Quitting already? Don't be a quitter chap!

I Never Quit, naturally am not a quitter. I have been a faithful arsenal fan since 1999, enjoyed the high moments and the lows. This season it seems like all the disappointments will be replaced by joy, however, am a bit cautious not to lift my hopes so high as it has been in so many occasions and end disappointment. What I fail to understand for the past five seasons are the managers decisions in selection the first eleven and morale boosting tactics, some time they seem to work very well and in an instant the fail completely.

This hurts me very bad as a fan and this time am just cautious, that's all.
 
watani walijaa hapa kutaka kutupa pole lakini mmhh wameondoka au wamebadilisha mawazo
Ligi ngumu safari hii
 
Watu wamesahu kuongelea jinsi Chelsea walivyofanyiwa mbaya na Stoke kule Liberty Stadium ambako Arsenal tuliwafunga haohao Stoke, au Man City ambao jana nao wakatoa sare na Southampton, hakuna mjadala huo.

Sembuse Arsenal kuwa 5 points clear leo hii.

Kula 5 mkuu, umechambua vizuri....Mi mzuka ulipanda nilipomuona Walcot anadunda nje...nkasema kwanini hajamweka tangia mwanzo...na tuliona assist yake punde tu alipoingia.
 
believe me or not they are now scaring, not only in tz but the whole world haters celebrate arsenal vs everton draw....this iz kind of revolution we have waited for
 
Mimi sina wasiwasi chama langu la Arsenal, limesimama vzuri msimu huu,, ila kwa ujumla EPL ni ngumu si mchezo!!!
 
Back
Top Bottom