Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wakuu hii mechi sitaki kuiona hadi mwisho isije ikaniumiza sana hadi nikakosa usingizi. Nitasubiri matokeo, but Mars 1- Dort 1 tukae tukilielewa hilo!!!!

Inahitaji roho ngumu kuangalia hii mechi maana......
 
Yaonesha Benitez kawafundisha wacheze mpira wa nguvu na wa rafu...bt hazitawasaidia....kwani wanahitaji 3 goals nil...na nusu saa ya mchezo umeshapita...wenzetu kule Dotmund 1-1....masele hataki dharau
 
Huu mtindo wa Szczesny wa kuwagonga washambuliaji na mipira sijui ametoa wapi!
 
Wewe unamsema Huyo mbabu Wenger anaefundisha watoto?
Goooooooooo
Napoli 1 arsenal 0000000000000000
Heta...weka vizuri updates zako...sijui unaangalia TV za wapi? NI mapumziko now
 
Naona mashabiki Wa Arsenal mapovu yanawatoka!
Maji ya shingo Leo! Babu yenu Wenger kimyaaaaaa!
 
Back
Top Bottom