hahahaha, safari hii #Mburukenge kila wakijitutumua wanapewa za uso...
nimelikosa game leo, ache nisubirie nne usiku #MatchOfTheDay kuangalia highlights,
Boksi la Alfajir ya leo mnh, na winter hili wazungu wataua...! Nzi.....salaam zake Belo,
safari hii #Mtazoea tu, hivyo hivyo kiubishi ubishi!
We acha tu Mkuu, kuna kipindi kulikuwa kunatandazwa mkeka uwanjani mpaka raha, Dah!!!! halafu goli zote tatu tamuuuu, acha #mburukenge wasuse leo kuingia huku lol!!!!