Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Walifanya hivyo kwa Mo No & Co 🙂 siyo kwetu hawana ubavu huo. Tutawachapa 3-0 kuendeleza dose yetu.

Ha ha ha...

Vipi Cardiff hawataharibu wikiendi?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Dear Goons, remember this?

<strong>
 
Last edited by a moderator:
Nzi hiyo clip nouma iasee...Jamaa yupo juu
 
Last edited by a moderator:
Nzi hiyo clip nouma iasee...Jamaa yupo juu

Na ana miaka 40 eti!! Ila sasa hawezi tena kufanya mambo kama hayo....hana tena spidi na uwezo huo....

Ila ni legend wa ligi ya Uingereza, kwa kucheza kwenye timu moja tu hadi sasa; kufunga kila msimu wa ligi toka aanze kucheza; and kushinda vikombe 13 vya ubingwa wa ligi.
 
#Mburukenge wameshajaa kama pishi la mchele lol!!!! Mburukenge wote kuna haja ya kuwapa honororary membership wa chama letu maana inaelekea kimoyomoyo wanalihusudu sana. Mie kuzuka kipande hii kama kazi.



Haya bana...angalia husije ukapotea humu!!
 
Last edited by a moderator:
Maskiiiiiiiiini Ramsey kaifunga timu yake--hajashangilia wala nn? Kafurahi to score lakini yaonyesha kaumia kidizain flani hivi
 
Back
Top Bottom