Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Thanks Gunners.

We are still marching on and waswahili husema, polepole ndiyo mwendo!.

7 points more than second placed Liverpool.

Tukutane tena on Wednesday, 4 December, 19:45 at Emirates Stadium kugawa vidonge kwa Hull City.

Sisi hatuna meneno mengi kwa sababu siyo debe tupu. Tuwaachie wanaofahamu kuongea nyuma ya keyboard/keypad (nescient football pundit)

Once a Gunner, always a Gunner.
 
Yaani watu mnaizungumzia Man U tu
Wao ndio wenye kuanza kutaka tuizungumzie team yao,wangenyamaza mbona hii ni sehemu yetu wa Mashabiki wa team ya Arsenal lakini man utd wameona ndio kwao acha tuende nao maana hali yao tunaijua sisi
 
Sikusema kuwa ameletwa Ozil ili kuwavutia wachezaji kwa maana yako wewe hapana Arsenal walimtaka Suarez LFC wakakataa kumuuza tumemnunua Ozil team inaendelea kufanya vizuri

Kwa hiyo unataka kusema Liverpool walikataa kumuuza Suarez kwa goons kwa sababu goons haikuwa na viungo wachezaji wazuri?!?

Arifu mbona hueleweki?! Haya ni maneno yako:

"lakini wamenunua kiungo mchezeshaji ambaye atafanya hata hao mafowadi wazuri wavutiwe na club ya arsenal"

Sasa huyo kiungo ni nani kama si Nemo?!? #KeepCalmGoon

kuhusu suala la Manager kwenye team ya soka nadhani kama ni muelewa ni kuwa anahusika moja kwa moja kwenye usajili wa wachezaji kuliko kuwa football coach

Naona huo ni mfumo wa goons...,

Katika timu zingine, kuna watu/kikosi maalumu kwa ajili ya usajili wa wachezaji. Meneja ni mtu mwenye majukumu ya kuiendesha klabu akishirikiana na backroom staffs katika engo mbalimbali kama scouts, doctors, assitant manager, first team/reserve/youth coaches and assistant coaches, physical trainers etc.

Hivyo basi, uhusika wake lazima siyo wa moja kwa moja, kwani anapokea taarifa kwa chief scout and scouts juu ya huo usajili; na atafanya kazi na watu wa idara ya fedha kabla ya maamuzi ya mwisho ya kununua ama kuuza wachezaji. Hii ni sawa na jinsi anavyofanya kazi ya kupanga wachezaji na mbinu za uchezaji kwa kushirikiana na assistant manager and first team coaching staff. Sasa huwezi kusema eti manager anafanya maamuzi ya moja kwa moja kupanga timu, ilhali hawezi kupanga bila kuwashirikisha hao backroom staffs.

tukienda kwenye mafanikio ana kombe la Gold la ubingwa wa Premier League ambalo hamna club yoyote Uk imeshaweza kuvunja record yake mpaka sasa ninavyoandika hapa JF

Okey dokey. Goons bana!! Naona mnajivunia historia sasa? Kuna mashabiki wa goons humu toka wameanza kushabikia goons hawajawahi kunusa kikombe hata cha carling cum capital one.....sasa wewe unaleta historia ya mwaka 2004? Kabla ya revolutionised world katika kila kitu?!?

Hivi wakaitwa managers kumi bora wa soka duniani, Arsene Chenga ataingia kwenye list kwa sababu ya hicho kikombe cha ngama ulichokisema? If he wants to be amongst the best managers, he should win the UCL and the world club championship!!

Otherwise, he is just unknown french guy who came to England from Japan to imitate what #AlexFerguson did with #ManUnited . Too bad he will retire or be sacked without even reaching Alex's knees!

au unaswali lingine maana hata usajili wa Ozil ndio bora msimu huu kwenye Premier League

Oh! Nemo again!

The season isn't over....

How can you say Nemo is the best buy of the season while we are on the 13th week of the season!?!

#KeepCalmGoon s
 
but wacheze kila mechi kama walivyojituma dhidi ya Arsenal

Goons bana mnavyopenda kujitekenya!!! Sasa unasema #ManUnited uwa anaikamia goons!! Duh!
Goons kwa #ManUnited ni kama mbwa kwa chatu...anajilengesha mwenyewe....United hana haja ya kuwakamia, ila ni goons kuigwaya #ManUnited ndiyo kunapelekea kupewa mkong'onoto tu.....

Kesho nauhakika Tottenham anashinda dhidi ya Manutd watasema naongea kishabiki lakini ni kwa kuwa uchezaji wa Spurs ni mgumu Manutd kuwazuia na hivi wametoka kwenye kipigo ponya ya Manutd ni sare tu

Chifu, mambo husiyoyafahamu ni bora ukakaa kimya tu....

Ukitoa ushindi wa mwaka jana pale OT, Spurs hajaifunga #ManUnited toka mwaka 2001!!

Head To Head Manchester United Vs Tottenham Hotspur - Tottenham Hotspur FC - SpursMAD

Sasa sijui ugumu gani unaouongelea hapa?!?

Baki na goons yako, husivamie timu za watu na kujiaibisha....
 
Thanks Gunners.

We are still marching on and waswahili husema, polepole ndiyo mwendo!.

7 points more than second placed Liverpool.

Tukutane tena on Wednesday, 4 December, 19:45 at Emirates Stadium kugawa vidonge kwa Hull City.

Sisi hatuna meneno mengi kwa sababu siyo debe tupu. Tuwaachie wanaofahamu kuongea nyuma ya keyboard/keypad (nescient football pundit)

Once a Gunner, always a Gunner.

Mkuu, vijana wamecheza "game" la uhakika leo na hasa Ozila ambae ndie alipanga vyumba kwa Ramsey na Flamini kufunga. Unajua Flamini hajawahi kufunga tangia mwaka 2008 tulipowafunga Newcastle Utd, cha muhimu tumemaliza mwezi November salama na kinyume cha waliotajia kuona crisis depens.

Kinachotakiwa na uimara au consistency ambayo itatusadia kupita mwezi Decemba salama. Ukumbuke baada ya Hull City tutacheza na Everton tarehe 8 halafu tutakwenda kucheza na Napoli pale Naples tarehe 11 haalfu mtanange wa nguvu na Man City pale uwanja wa Etihad tarehe 14 Decemba.

Baada ya hapo tarehe 23 tunawakaribisha Chelsea Emirates,siku ya boxing day tutakwenda Upton Park kupambana na West Ham halafu tarehe 29 tutamaliza mzunguko wa kwanza kwa kwenda St James Park kukwaruzana na Newscastle Utd.

Tukifanikiwa kuwa juu la ligi by terehe 1 January 2014 basi tutawakaribisha tena Cardiff City Emirates kuanza kumalizia kazi.

Ila kwa sasa ngoma imenoga maana Podolski, Walcott na Ox Chamberlain wote wamerudi na wapo tayari ni mshikemshike tu na tusahau Yaya Sanogo, Abu Diaby na hata Fabianski maana wao ni wa nadra sana kutumika.
 

....hahahaha, #YamekuwaHayaLeo?
It's only a Game Buddy!....#MtazoeaTu!


....dahhhh?!....jamaa umekasirika kwelikweli leo ee?

View attachment 124112

....heheheh, mwenzio #akijiua mie simo!
Amekasirika kwelikweli leo Arsenal kushinda,
kha!....

Acha ni log-off kabla hajatoa 'bastola' yake...

Ah arsenal mmeniudhi ... Ona nzi kanunA... Haha ha

I have never been happy in my life, like I am these days.......
 
Goons bana mnavyopenda kujitekenya!!! Sasa unasema #ManUnited uwa anaikamia goons!! Duh!
Goons kwa #ManUnited ni kama mbwa kwa chatu...anajilengesha mwenyewe....United hana haja ya kuwakamia, ila ni goons kuigwaya #ManUnited ndiyo kunapelekea kupewa mkong'onoto tu.....



Chifu, mambo husiyoyafahamu ni bora ukakaa kimya tu....

Ukitoa ushindi wa mwaka jana pale OT, Spurs hajaifunga #ManUnited toka mwaka 2001!!

Head To Head Manchester United Vs Tottenham Hotspur - Tottenham Hotspur FC - SpursMAD

Sasa sijui ugumu gani unaouongelea hapa?!?

Baki na goons yako, husivamie timu za watu na kujiaibisha....
Tatizo History mnaipenda sana sasa subiri kesho uone mnavyofungwa na Tottenham au mtoke sare ndio mtasema kuwa tuliwaambia
 
Tatizo History mnaipenda sana sasa subiri kesho uone mnavyofungwa na Tottenham au mtoke sare ndio mtasema kuwa tuliwaambia

Duh! Kwa heri.

Kumbe najibishana na mtu hasiye weka kumbukumbu ya kile anachokizungumza na kuandika!?!?

Wewe si hapo nyuma umedai Arsene Chenga ndiye kocha pekee aliyeshinda kombe la gold sijui?!?

Kwa hiyo, kwako hiyo siyo historia eh?!?

Siku njema/usike mwema.
 
Hahaaaaaaaa, "Manyu" lazima ile kwao!!!!!
Wanakazi ya kuja kutupa history ya makombe wakati timu yao inazidi kushuka nafasi kama history Madrid wana miaka mingapi hawajachukua Uefa champions league na wao ndio wanaongoza kwa kulichukua hilo kombe wakati huu watu wanaangalia timu inafanya nini sio ulichukua mara ngapi bali mnafanya nini sasa wakati wa soka la fedha na ushindani wa hali ya juu
 
Mkuu, vijana wamecheza "game" la uhakika leo na hasa Ozila ambae ndie alipanga vyumba kwa Ramsey na Flamini kufunga. Unajua Flamini hajawahi kufunga tangia mwaka 2008 tulipowafunga Newcastle Utd, cha muhimu tumemaliza mwezi November salama na kinyume cha waliotajia kuona crisis depens.

Kinachotakiwa na uimara au consistency ambayo itatusadia kupita mwezi Decemba salama. Ukumbuke baada ya Hull City tutacheza na Everton tarehe 8 halafu tutakwenda kucheza na Napoli pale Naples tarehe 11 haalfu mtanange wa nguvu na Man City pale uwanja wa Etihad tarehe 14 Decemba.

Baada ya hapo tarehe 23 tunawakaribisha Chelsea Emirates,siku ya boxing day tutakwenda Upton Park kupambana na West Ham halafu tarehe 29 tutamaliza mzunguko wa kwanza kwa kwenda St James Park kukwaruzana na Newscastle Utd.

Tukifanikiwa kuwa juu la ligi by terehe 1 January 2014 basi tutawakaribisha tena Cardiff City Emirates kuanza kumalizia kazi.

Ila kwa sasa ngoma imenoga maana Podolski, Walcott na Ox Chamberlain wote wamerudi na wapo tayari ni mshikemshike tu na tusahau Yaya Sanogo, Abu Diaby na hata Fabianski maana wao ni wa nadra sana kutumika.
Ni kweli, Umenena Mkuu.

Wasiwasi wangu kwa sasa ni kwa baadhi ya wachezaji kuanza kuwekwa kucheza kwenye sehemu ambayo siyo wazooefu ili mradi tu wacheze ili kuondoa manung'uniko.

Muda mrefu sana Arsene hajapata wachezaji wengi wanaocheza sehemu moja ambao wako tayari kucheza. He's facing team selection headache!.

I don't care kama tutaendelea kuchuma point zaidi.

Once a Gunner, Always a Gunner.
 
Ni kweli, Umenena Mkuu.

Wasiwasi wangu kwa sasa ni kwa baadhi ya wachezaji kuanza kuwekwa kucheza kwenye sehemu ambayo siyo wazooefu ili mradi tu wacheze ili kuondoa manung'uniko.

Muda mrefu sana Arsene hajapata wachezaji wengi wanaocheza sehemu moja ambao wako tayari kucheza. He's facing team selection headache!.

I don't care kama tutaendelea kuchuma point zaidi.

Once a Gunner, Always a Gunner.

Unajua mkuu, pamoja na kwamba mpira ni sayansi lakini pia mpira unatawaliwa na falsafa.

Falsafa ya mzee Arsene ni kukuza vipaji taratibu mpaka kipaji kinakuwa kimefikia ukomavu, na ndio tumewaona Ramsey na Fabregas.

Wenger alianza kumchezesha Ramsey kwenye wingi ya kulia au kushoto na ndipo tulipokuwa tukichukizwa na uchezaji wake mbaya kwani alikuwa akishindwa hata kugeuka na mpira ili aende mbele, hivyo alikuwa akipoteza mipira mingi.

Lakini sasa Ramsey ameingia kwenye kiungo wa kati na ndio anacheza nyuma ya Giroud na ndio unaona anaweza hata kufunga magoli wakati mwingine akitafuta nafasi yeye mwenyewe.

Sasa hivi hawezi kuwa na tatizo kwenye kupanga kwa sababu tayari anaijua first 11 yake ambayo ni ile ile ya siku zote.

Lakini itakuwa inategemea na mchezo na majeruhi na hata Mertesacker alipoumwa kwenye mechi na Man Utd kulikuwa na tatizo kwenye set pieces na RVP akafunga kirahisi.

Kwahio cha msingi ni first 11 ambayo katikati ina Arteta Wilshere, Cazorla, Ozil, Ramsey na mbele Giroud. Walcott huwa anaingia nafasi ya Ozil au Cazorla ili kuongeza kasi na Flamini huwa anaingia kucheza nyuma ya "midfielders" akitibua pasi kama alivyokuwa akifanya Genaro Gatusso wa Italy.

Kwahio ni aina ya timu pinzani ndio itakayotoa first 11 ya Arsenal.
 
Tunataka ubingwa! Sio kila mwaka story zile zile. IKifika january au february ARSENAL BADO YUKO JUU KWA POINT HATA SABA TU UBINGWA ATACHUKUA, ILA AKISHUKA KIDOGO TU INAKULA KWAKE. TUNAWATAKIA KILA LA HERI THE GUNNERS.
Ni kweli, Umenena Mkuu.

Wasiwasi wangu kwa sasa ni kwa baadhi ya wachezaji kuanza kuwekwa kucheza kwenye sehemu ambayo siyo wazooefu ili mradi tu wacheze ili kuondoa manung'uniko.

Muda mrefu sana Arsene hajapata wachezaji wengi wanaocheza sehemu moja ambao wako tayari kucheza. He's facing team selection headache!.

I don't care kama tutaendelea kuchuma point zaidi.

Once a Gunner, Always a Gunner.


Mkuu, vijana wamecheza "game" la uhakika leo na hasa Ozila ambae ndie alipanga vyumba kwa Ramsey na Flamini kufunga. Unajua Flamini hajawahi kufunga tangia mwaka 2008 tulipowafunga Newcastle Utd, cha muhimu tumemaliza mwezi November salama na kinyume cha waliotajia kuona crisis depens.

Kinachotakiwa na uimara au consistency ambayo itatusadia kupita mwezi Decemba salama. Ukumbuke baada ya Hull City tutacheza na Everton tarehe 8 halafu tutakwenda kucheza na Napoli pale Naples tarehe 11 haalfu mtanange wa nguvu na Man City pale uwanja wa Etihad tarehe 14 Decemba.

Baada ya hapo tarehe 23 tunawakaribisha Chelsea Emirates,siku ya boxing day tutakwenda Upton Park kupambana na West Ham halafu tarehe 29 tutamaliza mzunguko wa kwanza kwa kwenda St James Park kukwaruzana na Newscastle Utd.

Tukifanikiwa kuwa juu la ligi by terehe 1 January 2014 basi tutawakaribisha tena Cardiff City Emirates kuanza kumalizia kazi.

Ila kwa sasa ngoma imenoga maana Podolski, Walcott na Ox Chamberlain wote wamerudi na wapo tayari ni mshikemshike tu na tusahau Yaya Sanogo, Abu Diaby na hata Fabianski maana wao ni wa nadra sana kutumika.
 
Jamaa anatisha aisee huwa anakasirika kupita kiasi pale tunapofanya vitu vyetu utadhani tumeifunga MANU kwi kwi kwi kwi sasa siku tukiifunga MANU sijui ndiyo atakuwaje dah!!!! bastola yake kaisafisha leo 🙂🙂 wakila mkong'oto leo baadaye toka twa Tottenhams basi atachapa mtu na risasi lol!!!!! Nzi it is just a game Bro!!!! Relax and take it easy, there is no need to raise your pressure 🙂🙂

....heheheh, mwenzio #akijiua mie simo!
Amekasirika kwelikweli leo Arsenal kushinda,
kha!....

Acha ni log-off kabla hajatoa 'bastola' yake...
 
What's the fuss lads?

a. Beating a 17th placed team? Or
b. Winning against the team that drew with #ManUnited

I guess it has to be b, cause you can't stop comparing yourselves to #ManUnited

Oh! I guess also it is a totally new experience to goons, staying at the top of EPL! That is why you are insanely excited!

Keep calm down goons....
Umesahau kuwa hii ni Premier League mzee?? Juzi mliposhinda 5 uliweka bandiko hapa kwamba EPL ni Km 42 wakati UCL ni 1500m, ukaasema in EPL hakuna team ndogo iweje sasa uidharau Cardiff? Au kuona ushindi wa Arsenal is nothing coz the other team ipo 17th position....Acha Unoko kwani Contender has to win all possible games!! Arsenal is sprinting to the title!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Tunataka ubingwa! Sio kila mwaka story zile zile. IKifika january au february ARSENAL BADO YUKO JUU KWA POINT HATA SABA TU UBINGWA ATACHUKUA, ILA AKISHUKA KIDOGO TU INAKULA KWAKE. TUNAWATAKIA KILA LA HERI THE GUNNERS.
Mkuu bado tu una mashaka na Arsenal?
 
Tunataka ubingwa! Sio kila mwaka story zile zile. IKifika january au february ARSENAL BADO YUKO JUU KWA POINT HATA SABA TU UBINGWA ATACHUKUA, ILA AKISHUKA KIDOGO TU INAKULA KWAKE. TUNAWATAKIA KILA LA HERI THE GUNNERS.
Sisi hatuna maneno mkuu. Points zilizoko kibindoni ndiyo maneno.

Hakuna Gunners mwenye akili za tafakuli anayesema tumeishachukua ubingwa lakini vile vile nyota njema huonekana asubuhi.

Ninashukuru sana kwa kututakia heri ambayo na wewe vile vile sina budi kukutakia.
 
Umesahau kuwa hii ni Premier League mzee?? Juzi mliposhinda 5 uliweka bandiko hapa kwamba EPL ni Km 42 wakati UCL ni 1500m, ukaasema in EPL hakuna team ndogo iweje sasa uidharau Cardiff? Au kuona ushindi wa Arsenal is nothing coz the other team ipo 17th position....Acha Unoko kwani Contender has to win all possible games!! Arsenal is sprinting to the title!!

Mkuu huyo ni mzee wa kuweweseka Manure ilipotoka sare na Cardif hakuangaika kusema wala kutafuta kuwa cardif wanashika nafas ya ngapi but Baada ya Gunners kupiga mtu aliyempunguzia Manure Point ndio kaanza kuweweseka kuwa Cardif wanashka nafas ya 17.
 
Back
Top Bottom